Mwenye ulewa na hii taasisi ya TAWA(Tanzania Wildlife Management Authority))wanavyolipa, na posho zake zilivyo katika ngazi tofauti tofauti naomba atujuze.
Natanguliza shukran.
Kuna hili tangazo la kazi la kampuni ya Yahoo ambalo kwa sasa limekuwa kituko mtandaoni.
Katika tangazo hilo, Yahoo wametangaza wanatafuta mtaalamu wa kompyuta na wakasema mwombaji anapaswa kuwa...
Wasailiwa wa mitihani ya Practical, hususan katika kada ya Programming (ICT), tunashindwa kuelewa mchakato wa usahihishaji unafanyika vipi.
Mara nyingi unafanya mtihani wako, kisha unaondoka bila...
Habari.
Watumishi tuliojiendeleza kielimu tukiwa kwenye halmashauri tunakumbana na changamoto kubwa katika kufanyiwa re-categorization (recate) kutoka kada moja kwenda nyingine.
Maafisa...
Siku chache zilizopita tuliwasilisha malalamiko kuhusu changamoto tulizokuwa tunakumbana nazo katika eneo letu la kazi la BCEG Mbezi Beach, ikiwemo madai ya makato ya michango ya NSSF...
Ajira mpya katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko tunaomba kufikisha kilio chetu kuhusu utata uliojitokeza katika malipo ya fedha za kujikimu baada ya kuripoti kazini.
Tulipokuwa tunaripoti...
Wafanyakazi wa ajira Mpya Kibaha Manispaa tuna Mwaka mmoja na nusu hatujathibitishwa kazini, tunahoji lakini hatupati majibu ya kueleweka.
Tunaokumbaa na changamoto hiyo ni Kada ya Afya na pia...
Ajira mpya Kada ya Afya Musoma Mjini hatujapata sitahiki zetu za Pesa ya Kujikimu licha ya pesa hizo kutumwa kwenye halmashauri husika, kila tukifuatilia tunaambiwa suala linashughulikiwa mpaka...
Ni kiwanja kiluchopo Sanawari chapili kutoka Lami ya bara bara kuu ya Arusha Moshi. Kiwanja kipo jirani na Redio mbingu duniani kinauzwa Milioni 110 top. Ukubwa ni 20x20. Kinafaa kujenga...
Kwa Mheshimiwa Rais, Waziri wa Afya na mamlaka husika, mimi ni mkazi wa Mtwara, ninaomba Serikali itafakari kwa kina suala la mtihani wa leseni kwa wahitimu wa Uuguzi na Ukunga unaosimamiwa na...
Uandikishaji ulifanyika kwa siku saba kwa kupita kaya kwa kaya lakini wamelipwa kiasi cha sh. 50000 tu. kwa siku hizo zote.
Tunaomba katibu mkuu wizara ya Afya atolee ufafanuzi suala hilo, Kwan...
Habari wakuu,
Nahitaji mtu makini wa kutengeneza website ya biashara. Kwa sasa itakuwa maily ni static website, except page ya blog/news/media ambayo ni dynamic ambapo Admin ataweza kuwa anaweka...
Habari wakuu namleta mdau hapa anasema yeye anaomba kazi kwenye Microfinance yoyote kama afisa mikopo au nafasi nyingine yoyote.
SIFA ZAKE
ELIMU KIDATO CHA NNE NA DIPLOMA YA MASOKO
Ujuzi anajua...
Ndugu zang mm ni mtu wa kazi kazi ilimradi pesa,,,,napenda kuwaomba ndugu zang wana JF kama kuna kazi yyte ya kibarua mimi nipo tayari kuifanya,,,,au
Kama kuna connectio au mchongo wa kuingiza...
Anatafutwa afisa manunuzi mwenye masters ya procurement au mwenye Cheti cha CPSP.
Ni issue ya haraka na hakuna gharama zozote za malipo. Mwenye vigezo na uhitaji aje DM haraka
Asante.
Tunatafuta wadada wa kuhudumia wateja katika Barbeshop yetu iliyopo Olasiti,Arusha.
Sifa zinazohitajika
Awe smart na mwenye muonekano mzuri
Awe anajua kufanya scrub,Massage ya Kichwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.