Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, ameagiza kuchukuliwa hatua kwa maafisa rasilimali watu watakaobainika...
0 Reactions
1 Replies
108 Views
Anonymous (d932)
Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro haijalipa fedha za kujikimu kwa ajira mpya na wapo kimya, hawajasema lolote. Serikali itusaidie katika hilo, tuliripoti kazini mwezi wa kwanza hadi...
0 Reactions
4 Replies
231 Views
Habarini ndugu zangu nilikuwanaomba ushauri kuna dogo langu anafundisha chuo kikuu cha Dar es Salaam kama Tutorial Assistant na kaitwa kufanya interview TRA kama Tutorial assistant. Yuko anauliza...
8 Reactions
54 Replies
6K Views
Ajira mpya afya halmashauri ya wilaya ya Iramba hatujalipwa pesa zetu za kujikimu, na kila siku tukifuatilia tunaambiwa fedha ziko hazina wiki ya pili saa tangu tumeanza kufuatilia, mara...
0 Reactions
1 Replies
66 Views
Wakuu mko poa,? Nilikua natafiti mishahara ya private sector kwa watu wenye level ya degree,nimegundua kuna vijana wanakula maisha aisee, Orodha ya makampuni na mishahara yao ni kama ifuatavyo...
38 Reactions
243 Replies
16K Views
Nmejaribu tangu muda walioweka nakuwa rejected sijui shida imekuwa nini na muda umeisha kuna yeyote aliepata shida kama yangu kazi ndo imepita hivyo
5 Reactions
400 Replies
65K Views
Habari wakuu Mimi kijanana nipo kahama namiaka 23 natafuta kazi nina uzoefu na kazi ya library ata kaziyeyote yakulipwa kwa mwezi au wiki mshahara tunaelewana elimu form four asanteni
0 Reactions
1 Replies
79 Views
Anahitajika binti mwenye uwezo mkubwa wa kutumia simu na computer. Ofisi yetu inafanya kazi 2 ambazo ni kutoa huduma ya internet Morogoro mjini na kukata tiketi za treni ya SGR. Anahitajika...
11 Reactions
44 Replies
720 Views
Tunatafuta Fundi Magari Makubwa mwenye uzoefu wa kutengeneza Engine na Gearbox za malori na magari makubwa, hususan yale ya Kichina. Sifa zinazohitajika:
• Uwe na uzoefu wa kutengeneza engine za...
0 Reactions
2 Replies
135 Views
Anonymous
Watumishi wa kada ya Ualimu tulioajiriwa tarehe 01/07/2022 tunaomba mamlaka husika zituangalie kuhusu suala la kupandishwa madaraja. Hadi sasa hatujapandishwa daraja kutokana na sababu ya...
0 Reactions
1 Replies
186 Views
Anonymous (ea43)
Kero kubwa iko Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI kitengo cha UHAMISHO wa Watumishi UNAPEWA BARUA YA UHAMISHO LAKIN MSHAHARA HAUHAMI. Hili JIPU linahitaji KUTUMBULIWA maana inasababusha mtumishi...
2 Reactions
2 Replies
190 Views
Anonymous
Habari, mm nimwajiriwa mpya wa serikali katika Halmashauri ya Mji Tarime ajira za mwezi January 2026, pamoja na katibu mkuu TAMISEMI kutoa waraka wa kuelekeza watumishi wapya wote walipewe pesa za...
0 Reactions
3 Replies
106 Views
Habari za leo? Ndugu zangu nimefikia uhamuzi huu wa kuuliza ni kwa nini Tamisemi haitoi majina ya watumishi waliopata uhamisho? Jibu ninalofikiria binafisi ni kutokana na kuwepo na uvunjifu wa...
4 Reactions
2 Replies
248 Views
Baada ya mwanachama kustaafu rasmi utumishi wake, Mfuko wa Hifadhi ya Jamii husika unatakiwa kuchakata na kulipa mafao ya mstaafu ndani ya siku sitini (60) tangu kukamilika kwa nyaraka zote muhimu...
3 Reactions
3 Replies
402 Views
Anonymous
Mimi niliajiriwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo mwaka 2021, nikifanya kazi katika Hospitali ya Wilaya. Baada ya miezi miwili nilipewa barua ya kuhamishwa kituo cha kazi, hivyo nikaandika...
1 Reactions
5 Replies
154 Views
Kero yangu ni kuhusu Shirika la Bima la Taifa NIC (National Insurance Company)... kwanza walipita makazini kutoa orientation jinsi wanavyofanya kazi... baada ya kusaini zile karatasi za mahudhurio...
0 Reactions
2 Replies
252 Views
Habari za Asubuh wanajamii, Tangu Shirika la USAIDS kufutwa hapa nchini na Mimi kuanza kutafuta ajira sehemu mbalimbali nimejionea mambo mengi sana. Kwanza kabisa kwenye suala la ajira na kuitwa...
0 Reactions
5 Replies
185 Views
Kuna upigaji mkubwa unaendelea wa posho za kujikimu ajira mpya halmashauri ya wilaya ya Sikonge. 1. Katibu mkuu aliwandikia barua halmashauri zote zenye maelekezo maalumu kwa ajili ya fedha za...
0 Reactions
0 Replies
122 Views
Anonymous
Sisi watumishi wa ajira mpya katika halmashauri ya Wilaya ya Nzega yaani Nzega DC hatujalipwa pesa yetu ya kujikimu tangu mwezi Februari 2025 hadi leo
2 Reactions
4 Replies
244 Views
Ndugu zangu napenda kujua hivi inakuwaje kwenye mfumo wa ajira portal nilifanya application nikawa shortlisted nkaenda written na oral nikaenda sasa ile application nilifanya sahivi kwenye ajira...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom