Tenda: Kwa mtaalamu wa Web Development kuna laki 2 chap.

Tenda: Kwa mtaalamu wa Web Development kuna laki 2 chap.

Elvis Legacy

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2017
Posts
4,618
Reaction score
7,131
Habari wakuu,

Nahitaji mtu makini wa kutengeneza website ya biashara. Kwa sasa itakuwa maily ni static website, except page ya blog/news/media ambayo ni dynamic ambapo Admin ataweza kuwa anaweka taarifa inapombidi. ikiwa pia standby forms za kulogin, sign-up na comment sections (ifanye kazi) standby kwa ajili ya baadaye. Kikubwa kwa sasa iweze ku-display services zitakazofanywa na kampuni ambayo basically ni kampuni ya madini.

Website inahitaji ubunifu wa pages zenye kuvutia. Jumla ya pages muhimu ni kama 9 ambazo ni;
  • Home
  • About / Company profile
  • Services (sub-pages au sections)
  • Products / Minerals catalogue
  • Projects / Case studies
  • Compliance & Licenses / HSE (safety & environment)
  • Investors / Financials (kwa uwekezaji)
  • News / Blog / Media
  • Careers - Kutangaza kazi
  • Contact (na eneo / map) — inaweza kuwa page tofauti au footer

    Kama kuna requirements zitakazohitajika basi atakuwa anawasiliana na mtu ili asikame. Mfano logo, company profile, company color code, theme na vingine atakuwa akipewa.

    Ujira: TZS 200,000
    Muda wa kazi kukamilika: siku 3-5.
    Kwa mwenye kuhitaji hii kazi aje PM tuyajenge.
 
Mcheki Website Tanzania mzungumze, maana yeye alisema ofa yake ni Tshs. 300,000/=
 
Hiyo bajeti ya kupata kijana anayejifunza hayo mambo siyo Pro.
Jiandae kwa uswahili na delays.
 
Aisee, hakudeliver kazi kwa wakati?
Kampuni yangu ilimlipa kwa ajili ya App (advance payment), kazi haikukamilika, ukimpigia simu hapokei.
Muhimu, hakikisha kazi yote amemaliza na amekupa 'database' ndio umlipe, tofauiti na hapo uhaminifu ni sifuri.
 
Kampuni yangu ilimlipa kwa ajili ya App (advance payment), kazi haikukamilika, ukimpigia simu hapokei.
Muhimu, hakikisha kazi yote amemaliza na amekupa 'database' ndio umlipe, tofauiti na hapo uhaminifu ni sifuri.
Equation x Sajo

Habari boss App gani uliyolipia advance payment na kazi haikukamilika?...

Kwanza kabisa mimi sijihusishi na utengenezaji wa app ni website tu.

Naomba kufahamu maana sina mteja ambaye sijakamikisha kazi yake.

nimelist kazi ambazo nimeshakamilisha

www.pas.co.tz
www.restoreherdream.co.tz
www.premierhotel.co.tz
www.nauzagari.com
www.gpstanzania.co.tz
www.fahatradingcentre.co.tz
www.dmandshea.co.tz

Na baadhi ya wateja wanatokea humu humu jamiiforums. Sasa sijajua wewe app gani ambayo sijakamilisha.

Hakuna sehemu nimewahi kutangaza natengeneza app hapa jamiiforums.
 
Equation x Sajo

Habari boss App gani uliyolipia advance payment na kazi haikukamilika?...

Kwanza kabisa mimi sijihusishi na utengenezaji wa app ni website tu.

Naomba kufahamu maana sina mteja ambaye sijakamikisha kazi yake.

nimelist kazi ambazo nimeshakamilisha

www.pas.co.tz
www.restoreherdream.co.tz
www.premierhotel.co.tz
www.nauzagari.com
www.gpstanzania.co.tz
www.fahatradingcentre.co.tz
www.dmandshea.co.tz

Na baadhi ya wateja wanatokea humu humu jamiiforums. Sasa sijajua wewe app gani ambayo sijakamilisha.

Hakuna sehemu nimewahi kutangaza natengeneza app hapa jamiiforums.
Marketing manager wangu atakucheki w/app. Jitahidi mkuu, uhaminifu ndio kila kitu katika maisha.
 
Marketing manager wangu atakucheki w/app. Jitahidi mkuu, uhaminifu ndio kila kitu katika maisha.
Boss mbona nimeuliza kazi gani ya app ambayo sijakamilisha.
Unavyonitangazia kuwa sio muaminifu ni mswahili maana yake nini?

Wapi nilitangaza kuwa natengeneza app?
 
Marketing manager wangu atakucheki w/app. Jitahidi mkuu, uhaminifu ndio kila kitu katika maisha.
Ungejibu maswali ya jamaa kwanza,siyo uungwana kuchafua biashara ya mtu kwa chuki binafsi.
 
Back
Top Bottom