DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,574
- 6,119
Habari wakuu namleta mdau hapa anasema yeye anaomba kazi kwenye Microfinance yoyote kama afisa mikopo au nafasi nyingine yoyote.
SIFA ZAKE
ELIMU KIDATO CHA NNE NA DIPLOMA YA MASOKO
Ujuzi anajua vizuri kutumia Computer amewahi kujitolea sehemu kama Mhasibu miaka miwili (yaani kufanya kazi za kihasibu)
Anamewahi kuwa Marketing manager kwenye Taasisi kadhaa
Amewah kuwa sales Person pia
Umri sijui ila ana 28-30 hivi
Makazi DSM
SIFA ZAKE
ELIMU KIDATO CHA NNE NA DIPLOMA YA MASOKO
Ujuzi anajua vizuri kutumia Computer amewahi kujitolea sehemu kama Mhasibu miaka miwili (yaani kufanya kazi za kihasibu)
Anamewahi kuwa Marketing manager kwenye Taasisi kadhaa
Amewah kuwa sales Person pia
Umri sijui ila ana 28-30 hivi
Makazi DSM