Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Unapenda kusikia zile sauti za mahaba au mpenzi / mwenza wako akizitoa zinakukera? Ushawahi kukutana na miguno au vilio vya ajabu mpaka vikakushangaza? ilikuwaje? Mimi najitolea kusema kwa...
38 Reactions
1K Replies
30K Views
Wakuu habarini za siku nyingi, poleni sana kwa yaliyotokea. Kijana mwenzenu nilifunga ndoa mwaka 2021, lakini kutokana na mambo ya ajira mimi na mke wangu tunaishi mbali mbali. Hapo mwanzo...
18 Reactions
97 Replies
3K Views
1. Katika harakati za utafutaji nilikutana na lishangazi la Kireno likiwa linafanya kazi kama Meneja Hoteli Dar (Masaki). 2. Aisee ana nundu sio poa. Nikajenga ukaribu akiwa bongo. Nikaanza...
68 Reactions
221 Replies
14K Views
Wenye lugha yao wanasema Happy Hump Day... Happy Hump Day to you all JF, Kasie loves you mingi. Ohh itawezekanaje kufanya mapenzi pasipo na fikira Heri niwe peke yangu, heri niwe peke yangu...
6 Reactions
18 Replies
3K Views
Abariza kweni waungwanaa Kuna ilijambo,sasa i do' know km watu wanafanya kusudi or not Yaan ipo ivii, mkishatongozana na kukubaliana,marufuku kuoneana haya.. We mwanaume mwili wako huna ihuru...
4 Reactions
27 Replies
828 Views
Wadau, Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa...
280 Reactions
3K Replies
284K Views
Mwanadada Regina Daniels(21) asherehekea mume wake huyo Ned Nwoko(61) kumtumia zawadi ya Xmas dola $50,000 ambazo ni zaidi ya milioni 115 za Kibongo. Mrembo huyo ambaye ni mwigizaji maarufu...
13 Reactions
90 Replies
50K Views
Mara ooh sins chapaa mtoto mzuri awezi nikubali,mara ooh sina kitu Hebu acha nitoe ushuhuda wangu binafsi.mimi kuna time sikuwa naela, nilikuwa na life gumu kidogo Nilipata offers nyingi kuotka...
7 Reactions
48 Replies
1K Views
A guy unamkuta ana nyumba, ana usafiri, ana biashara yake na kazi yenye kipato kizuri. All of this umekuta ameaccomplish mwenyewe bila ya wewe. Then unakuwa attracted na this type of a guy na...
36 Reactions
211 Replies
15K Views
Shikamooni wakubwa, Kwanza nishangae, Kwanini watu hawaamini,na hawaaminiki. Yaani nilichogundua humu watu wengi ni waongo,tena waongo sana,na ndomana wanahisi kila mtu ni muongo kama wao...
36 Reactions
370 Replies
9K Views
Anyo-Ashi-Mikaaa! Nakumbuka ni kama miaka 5 nyuma, rafiki yangu ambaye alikuwa classmate wangu alinipa clue kuhusu JF kwa mara ya kwanza... akasema ni jukwaa la ajabu sana. Akanieleza kuna mtu...
36 Reactions
82 Replies
4K Views
Hellow Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina...
19 Reactions
227 Replies
6K Views
Vikiwa vimetanuka (vimeacha nafasi kubwa kati ya Kidole na Kidole) jua ya kwamba....... Una Mke au Mchumba au Mpenzi ambaye HAJATULIA, HATOTULIA katika Mahusiano yenu na MTASUMBUANA 24/7 Vikiwa...
10 Reactions
93 Replies
4K Views
Poleni kwa jf kufungiwa. Kuna utafiti nimekua nikiufanya,nimegundua wanawake wengi huwa wanapenda kunyonya sehemu za siri za wanaume. Sasa huruma yangu ni hii,mwanamke let's say ni mke wa mtu...
5 Reactions
53 Replies
3K Views
Happy Mother's Day Bbade Sky Eclat Khantwe Atoto
11 Reactions
34 Replies
1K Views
Habari zenu GT. Nina mpenzi wangu wa kike amekuwa akichat na EX wake, hili jambo limenishtua kidogo na ni kitu sikipendi na namuonya Kila wakati, lakini anarudia.. Je kwenye mahusiano hii ni...
7 Reactions
55 Replies
2K Views
Buenas Domingo amigos! Baada ya kuingia kwenye migogoro isiyoisha na mke wangu na kuamua kutengana nae nikapata binti mdogo mdogo hivi wa 2005 Huyu binti alikua anaishi kwa bro wake na alikua...
18 Reactions
107 Replies
5K Views
Nimechoka Nawasili nipokeya sibadili yako niya tafadhali niridhiya yangu haii nimechoka Wangu moyo wanitanga kwa surayo kutoenga njoo mbiyo wa muanga mwendaniyo nimechoka. Nakwambiya la hakika...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Nimesoma nae kuanzia form1 hadi form4 pia tukakutana chuo, kipindi chote hicho nilikuwa namtongoza kwa njia mbalimbali kama kumpa zawadi na hongo mbalimbali cha ajabu nilipo muambia ukweli kuwa...
54 Reactions
323 Replies
10K Views
Habari ndugu zangu, poleni wote mlioondokewa na wapendwa wenu Iko hivi, katika harakati za kusaka mchumba nilijikuta katika hali ngumu ya maamuzi kati ya wachumba hawa wawili Wa kwanza nilisoma...
7 Reactions
27 Replies
988 Views
Back
Top Bottom