Unapenda kusikia zile sauti za mahaba au mpenzi / mwenza wako akizitoa zinakukera?
Ushawahi kukutana na miguno au vilio vya ajabu mpaka vikakushangaza? ilikuwaje?
Mimi najitolea kusema kwa...
Wakuu habarini za siku nyingi, poleni sana kwa yaliyotokea.
Kijana mwenzenu nilifunga ndoa mwaka 2021, lakini kutokana na mambo ya ajira mimi na mke wangu tunaishi mbali mbali. Hapo mwanzo...
1. Katika harakati za utafutaji nilikutana na lishangazi la Kireno likiwa linafanya kazi kama Meneja Hoteli Dar (Masaki).
2. Aisee ana nundu sio poa. Nikajenga ukaribu akiwa bongo. Nikaanza...
Wenye lugha yao wanasema Happy Hump Day...
Happy Hump Day to you all JF, Kasie loves you mingi.
Ohh itawezekanaje kufanya mapenzi pasipo na fikira
Heri niwe peke yangu, heri niwe peke yangu...
Abariza kweni waungwanaa
Kuna ilijambo,sasa i do' know km watu wanafanya kusudi or not
Yaan ipo ivii, mkishatongozana na kukubaliana,marufuku kuoneana haya.. We mwanaume mwili wako huna ihuru...
Wadau,
Nimekuja kugundua nilikosea kuoa baada ya kukaa kwenye ndoa miaka 15 na kupata watoto wanne. Dah nilijichanganya nikaoa a Corporate lady ambaye alikuwa mwanasheria kule Arusha, alikuwa...
Mwanadada Regina Daniels(21) asherehekea mume wake huyo Ned Nwoko(61) kumtumia zawadi ya Xmas dola $50,000 ambazo ni zaidi ya milioni 115 za Kibongo. Mrembo huyo ambaye ni mwigizaji maarufu...
Mara ooh sins chapaa mtoto mzuri awezi nikubali,mara ooh sina kitu
Hebu acha nitoe ushuhuda wangu binafsi.mimi kuna time sikuwa naela, nilikuwa na life gumu kidogo
Nilipata offers nyingi kuotka...
A guy unamkuta ana nyumba, ana usafiri, ana biashara yake na kazi yenye kipato kizuri. All of this umekuta ameaccomplish mwenyewe bila ya wewe.
Then unakuwa attracted na this type of a guy na...
Shikamooni wakubwa,
Kwanza nishangae,
Kwanini watu hawaamini,na hawaaminiki.
Yaani nilichogundua humu watu wengi ni waongo,tena waongo sana,na ndomana wanahisi kila mtu ni muongo kama wao...
Anyo-Ashi-Mikaaa!
Nakumbuka ni kama miaka 5 nyuma, rafiki yangu ambaye alikuwa classmate wangu alinipa clue kuhusu JF kwa mara ya kwanza... akasema ni jukwaa la ajabu sana.
Akanieleza kuna mtu...
Hellow
Nilimuonaga mdada mmoja huko kwenye mahangaiko kwenye kasemina fulani ila tupo nae sehemu ila sasa ni mgumu balaa yapata mwaka sasa tangu numtongeze ila jibu sipewe nazungushwa na nina...
Vikiwa vimetanuka (vimeacha nafasi kubwa kati ya Kidole na Kidole) jua ya kwamba.......
Una Mke au Mchumba au Mpenzi ambaye HAJATULIA, HATOTULIA katika Mahusiano yenu na MTASUMBUANA 24/7
Vikiwa...
Poleni kwa jf kufungiwa.
Kuna utafiti nimekua nikiufanya,nimegundua wanawake wengi huwa wanapenda kunyonya sehemu za siri za wanaume.
Sasa huruma yangu ni hii,mwanamke let's say ni mke wa mtu...
Habari zenu GT.
Nina mpenzi wangu wa kike amekuwa akichat na EX wake, hili jambo limenishtua kidogo na ni kitu sikipendi na namuonya Kila wakati, lakini anarudia..
Je kwenye mahusiano hii ni...
Buenas Domingo amigos!
Baada ya kuingia kwenye migogoro isiyoisha na mke wangu na kuamua kutengana nae nikapata binti mdogo mdogo hivi wa 2005
Huyu binti alikua anaishi kwa bro wake na alikua...
Nimesoma nae kuanzia form1 hadi form4 pia tukakutana chuo, kipindi chote hicho nilikuwa namtongoza kwa njia mbalimbali kama kumpa zawadi na hongo mbalimbali cha ajabu nilipo muambia ukweli kuwa...
Habari ndugu zangu, poleni wote mlioondokewa na wapendwa wenu
Iko hivi, katika harakati za kusaka mchumba nilijikuta katika hali ngumu ya maamuzi kati ya wachumba hawa wawili
Wa kwanza nilisoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.