Planet Data bundles
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,403
- 4,359
Tafadhari tafadhari sana. Mtoto wa nje ya ndoa ni shida sanaaa!
Hii hesabu haijawahi kukaa vizuri. Mimi ni muhanga
Hii hesabu haijawahi kukaa vizuri. Mimi ni muhanga
Mkuu FafanuaTafadhari tafadhari sana.
Mtoto wa nje ya ndoa ni shida sanaaa!!
Hii hesabu haitawai kukaa vizuri
Mi ni muhanga
kama hataki kufyatua watoto 13 unafyatulia nje tu ili kutimiza amri ya Mungu na malengo yako ukiwa hai humu duniani 🐒Tafadhari tafadhari sana.
Mtoto wa nje ya ndoa ni shida sanaaa!!
Hii hesabu haitawai kukaa vizuri
Mi ni muhanga
Funguka mkuuMkuuu naandika haya huki machozi yananitoka..😥😥😥😥🙌🙌
Shauri vijana pia sio kuzaa nje ya ndoa tu hata hi ya kuishi na wamama au mishangazi waache waaache.mimi ni muhanga naongea haya nikiwa bagamoyo kwa awadhi
Uki-date na mume wa mtu unatakiwa kujua anachohitaji kutoka kwako ni good time tu. Kula nae good time kama upo kibiashara zaidi piga hivyo vihela vyake lakini suala la kumzalia watoto mwachie mkeweWewe ndiyo umecheza vibaya mkuu.Mtoto wa nje unazaa na mnyakyusa halafu huhudumii ukitegemea amani….Hakika utakonda sana mkuu
We jichanganye udhani utapewa matunzo kwa usawa😂Mnapoenda kupiga shoo nje ya ndoa huwa mnategemea nini? Mtoto nje ya ndoa naye ni mtoto kama watoto wa ndani ya ndoa na wanastaili matunzo na urithi wa baba yao. By the way hakuna mtoto wa ndani ya ndoa na nje ya ndoa, watoto wote wako sawa na mama zao ni wake zako toeni matunzo kwa usawa
HakikaUki-date na mume wa mtu unatakiwa kujua anachohitaji kutoka kwako ni good time tu. Kula nae good time kama upo kibiashara zaidi piga hivyo vihela vyake lakini suala la kumzalia watoto mwachie mkewe
Hakika, jaman hawa watoto wakogo na shida sanaIyo wala sio shida unaweza ukampa mama yake biashara na bado shida iko pale pale
Katika kosa ninalolijutia ni hili, huwa linanipa mateso makubwa sana.Tafadhari tafadhari sana. Mtoto wa nje ya ndoa ni shida sanaaa!
Hii hesabu haijawahi kukaa vizuri. Mimi ni muhanga