Mara nyingi haya nayasoma kwenye magazeti, ila yowe nililosikia juzi kutoka kwenye nyumba ya jirani yangu na kupelekea tuamke tukidhani kuna tukio baya limetokea vilinifanya niamini kuwa haya...
Habari wakuu wa jamvi,
Jamani hivi watu wametofautiana sana,unajua kwanini nasema hivyo?utakuta kuna mtu yeye anapenda kulia gizani,yaani giza totoro ndio furaha yake,mwingine yeye anataka angalau...
My biggest wish...
My biggest wish is to see you face....
hold you hand and blow you a kiss!!
Though a big girl now i would let you play with my hair...
or hold my hands while we say a...
Naomba mnisamehe ndugu zangu...Hii akili ya 1947 ime-jam!
Hivi kwa mazingira yetu ya sasa ya dot com, ufisadi, ulegelege wa wakulu (Maranya kaita urojo rojo), uzembe, umbeya, kupigana mabao...
myself i am 39 but dating 48 for almost 6 month now
advantage!
i dont pretend to be someone else to be accepted,
given that older women are secure in their own skin,
they have their own life, and...
Ajinyonga Hadi Kufa Sababu Ya Kupigwa Na Mkewe.
Mkazi mmoja katika Mtaa wa NHC katika Mji wa Mugumu wilaya ya Serengeti wilayani Mara, Samson Kitoshi (32) amejinyonga hadi kufariki dunia kwa...
Jijini Harare,Zimbabwe kwa zaidi ya mwaka sasa kumeibuka kundi la wanawake watatu wenye silaha wanaoendesha magari ya kifahari kuwarubuni wanaume kwa lifti baadae kuwabaka kwa nguvu kwa kutumia...
Points On How To Improve Your Life
Personality:
1. Don't compare your life to others'. You have no idea what their journey is all about.
2. Don't have negative thoughts of things you cannot...
Kuna wanaume ambao kwa kutokujua wanadhani mwanamke anachohitaji ni fidia baada ya kuvunjiwa heshima, hivyo huwa wanawavunjia heshima wake zao na baadae kujitoza fidia kwa kuwanunulia zawadi...
Kwa waliotazama taarifa ya habari ya saa 2 usiku ITV waliona taarifa ya binti wa miaka kumi na tatu kujinyonga hadi kufa kwa kamba ya pasi. Ilikuwa ni habari ya kusikitisha sana sana hasa kwa sie...
Nina mpenzi wangu ambaye kanizidi mwaka mmoja tuu, ila kila cku analia na umri wangu kuwa mimi ni mdogo kwake, embu niambie jamani nimfanyeje cause anataka kuniacha, mimi ni kijana wa miaka 27...
Hivi kwa ninyi madada, mawifi, mama wakwe.....
Hivi ni kwanini mwanamke mwenzenu anapochelewa kupata mtoto akiwa ndani ya ndoa huwa mnapenda kuwasimanga. Mara mjaza choo, anakula vya mwanao/kaka...
Nimewahi kuja mbele yenu, kwa heshima zote nikitafuta mwanamke wa kuoa sikfanikiwa, narudi tena kujaribu bahati, nikasema ni lazima awe ni mwanamke mzuri, mwenye shape ya kuvutia sana, asiye na...