Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Couple arrested for having sex in church Two protesters were arrested after stripping off naked to have sex in front of the alter in the middle of a service at Oslo...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Wandugu nampenda mschn ambay nmemfaham cku nyngi ila yy amekua akinichkulia kama rafki2 hvyo nilpomtokea akachomoa sasa cjui nifanyeje!
0 Reactions
11 Replies
1K Views
From time immemorial a woman's virginity has been her prized possession. Throughout history one will read about cultures across the world placing a high value on a a woman's virginity. But times...
0 Reactions
0 Replies
969 Views
There are 3 basic sex styles. Sex in a marriage is an important factor. Sex relieves you of all tension and a marriage with good sex is healthier and lasts longer. But every person has his own...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Jamani, hivi natakiwa kuendelea kungoja kuoa au, huwa kuna mtu namfikiria ambaye ningependa awe, lakini sijakutana naye hata siku moja. Huwa nafikiria wacha nimpate yeyote, nashauriwa kuwa...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
kisa mi ni MKATOLIKI yeye ni mpendekoste(Mlokole) naomba ushauri kwani psychologically nipo abnormal
3 Reactions
54 Replies
5K Views
Hebu tuchukulie kwamba, wewe ni mzazi, iwe ni wa kike au wa kiume. Halafu una binti mkubwa ambaye amefikia umri wa kuweza kushiriki tendo la ndoa. Siku isiyo na jina, unamfuma akiwa na vidonge vya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ndugu zangu, wapwa, mabinamu, invizibo, mwalimu,wana MMU na wana JF kwa ujumla, mabibi na mabwana. Kama mnavyojua ndugu zangu na watani zangu ndio hivyo wako katika siku za mwisho mwisho za mwezi...
0 Reactions
161 Replies
12K Views
Katika utafiti uliofanywa na akina Kruger na wenzake kwa wanyama jamii ya Sokwe, ilibainika kwamba kulikuwa na vifo vingi vya Sokwe madume wenye umri wa miaka 13. Hali hii ilitokana na sababu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
kisa kilianza zaidi ya miaka 10 iliyopita, wawili hawa walikuwa wapenzi wakazaa mtoto lakini kutokana na 'external forces' hawakuoana. maisha yakaendelea kila mmoja akashika njia yake na sasa kila...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
nina mtoto mmoja, baba'ke naishi nae bt we are not married. Tatizo ana tabia ya uongo sana yaan ameni cheat mara kibao hadi nimepoteza uaminifu kwake. my ex boyfriend anataka tufunge ndoa and i...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mlioko kwenye ndoa naomba mnijibie swali hili, maaana huwezi jua ukali wa posi kama hupigi pasi. Inshort natarajia kujiunga na taasisi yenu soon.
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Kwanza nikuombeni radhi nyote ambao mlikuwa mmeandika michango yenu na ikazimika ghafla. Ni kutokana na matatizo ya kiutendaji. Forum hii inahitaji mod mwenye busara kubwa kuwahudumia wanachama...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Jaman wana jf nina tatizo moja kwamba kila msichana ninayeanzisha naye mahusiano ya kimapenz huwa hajatulia na mpaka sasa nina miaka 23 nahitaji mchumba wa kufumga naye ndoa je nifanyeje?
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Je, umeshawahi kusikia mtu anashitakiwa kwa kuzini na mke wake wa ndoa? Ni swali la kuchekesha kidogo, lakini ukweli ni kwamba, jambo hilo, limeshawahi kutokea.Wapi na kwa nani? Ilikuwa kwenye...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
wana jf,haka kamchezo sio kazuri leo nimepewa kisa na mshikaji wangu hapa nilipopanga mshikaji kamtokea demu hapa jirani kitambo kabla mie sijahamia na akafanikiwa kuwa na huyo demu ila baadaye...
1 Reactions
22 Replies
3K Views
Natamani tu-share na wewe mwanajamvi, Una-deal aje na mtu mwenye "bad moods"? Tupeane xperience! As tunavyojua kuwa mtu akiwa kwenye "bad mood" Ni anaweza kukukwaza, ni anaboa wakati mwingine...
4 Reactions
17 Replies
2K Views
hey ladies... there is something that i fail to comprehend. most ladies claim to know that most guys just want sex but yet wen a guy is upfront abt wanting to have sex with u, you take offense to...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Licha ya kwamba watanzania wana matatizo mengi hasa ya kiuchumi na kisiasa bado tatizo la mapenzi, mahusiano na urafiki ni changamoto yao ya kila siku. Utashangaa nikikwambia kuwa MMU (Mapenzi...
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…