Vulmeko
JF-Expert Member
- Jul 15, 2025
- 349
- 305
Nimeipenda sana kauli yake.
Wakati anatangaza kujiuzulu Uwaziri Mkuu, amesema anaenda kufanya kazi muhimu zaidi:
"Kuwa mume bora kwa mke wangu mzuri... na kuwa baba bora zaidi kwa watoto wangu wazuri...,"
Wewe vipi, una mawazo au nia kama hiyo kwa mke wako na watoto wako?. Kama unawaza kumwacha mke wako au kumkomoa basi kubali tu hustahili kuitwa mwanaume bora au mume bora. Na pia kama unapanga kuwa na mahusiano na wanawake wengi, tambua kuwa utazaa watoto wengi watakaokosa malezi ya baba, na kwa sababu hiyo pia hustahili kuitwa baba bora.
The Rt Hon Sir Keir Starmer, congratulations on recognizing that being a devoted husband and father is a man’s highest calling.
Your decision is a powerful reminder that true greatness begins at home.
You have set an inspiring example for men everywhere.
Wakati anatangaza kujiuzulu Uwaziri Mkuu, amesema anaenda kufanya kazi muhimu zaidi:
"Kuwa mume bora kwa mke wangu mzuri... na kuwa baba bora zaidi kwa watoto wangu wazuri...,"
Wewe vipi, una mawazo au nia kama hiyo kwa mke wako na watoto wako?. Kama unawaza kumwacha mke wako au kumkomoa basi kubali tu hustahili kuitwa mwanaume bora au mume bora. Na pia kama unapanga kuwa na mahusiano na wanawake wengi, tambua kuwa utazaa watoto wengi watakaokosa malezi ya baba, na kwa sababu hiyo pia hustahili kuitwa baba bora.
The Rt Hon Sir Keir Starmer, congratulations on recognizing that being a devoted husband and father is a man’s highest calling.
Your decision is a powerful reminder that true greatness begins at home.
You have set an inspiring example for men everywhere.