Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Threads
7.9K
Posts
231.4K
Wakuu mmebarikiwà sana na Mwenyezi Mungu wote. Aisee wakati nipo advance nilipata binti mmoja WA kinyiramba na tulipotezana baada ya Mimi kuhitimu advance nikaenda mkoa mwingine. Ilipita miaka...
8 Reactions
55 Replies
5K Views
Ni jambo la kihisia mno, jambo lililo ndani ya moyo kabisa lisilotoka na ambalo hujirudiarudia kila Mara! Ni kuhusu wema uliowahi kutendewa na mtu baki halafu ukaahidi kimoyomoyo kumlipa lakini...
34 Reactions
251 Replies
38K Views
Endapo Umeamua kwenda kulewa pombe pamoja na Malaya uliemchagua , jitahidi Sana:- 1. Usiende kulewa na Malaya maeneo ambayo Ni jirani na kwako au sehemu unakofahamika Sana. 2. Hakikisha umekula...
28 Reactions
135 Replies
8K Views
Nimeamua kuacha kazi na kuingia kwenye udalali huku bosi akinisaka na polisi Mbosso alisema mapenzi Gharama? Ufisi Gharama zaiiidi. Hii haikua kwa kupenda kwangu bali ni tamaa ya kupenda Uchi na...
58 Reactions
254 Replies
26K Views
Mtu unafumaniwa na meseji ulizochati na mtu au mumeo anakuta namba mpya ambayo unawasiliana nayo kila mara hadi anaanza kuitilia mashaka. Umechati na mtu mmemaliza kwanini usifute hizo meseji au...
8 Reactions
34 Replies
1K Views
Bila shaka jibu litakuwa "NDIO" kama ni hivyo unapaswa kutulia haswa, zile fujo unazosikia ndani yako zinapaswa kutulizwa na kusikia shwari ndani yako. Fujo hizo zitatulizwa na Mungu mwenyewe...
4 Reactions
11 Replies
600 Views
Naombeni kujua wakuu telegram bado imefungwa na upwiru kinyama nataka demu wa kusuuza rungu
2 Reactions
10 Replies
375 Views
Inanitafakarisha sana hii Yaani huwa najiuliza maswali mengi sana nikiona mwanamke wa hivyo miaka 40, 45, 47, 49, 50 huna mume na hujawahi hata kuolewa hata mara moja yaani hata mara moja kwenye...
27 Reactions
165 Replies
3K Views
Polen na majukumu ya kila siku mimi ni kijana wa miaka 23 na bado nipo kimasomo katika chuo flani cha elimu ya juu ila nahitaji kuwa na mtoto m1 na hii nikutokana na shinikizo la mama kuniambia...
1 Reactions
218 Replies
14K Views
Nanukui "Oya kaka kuna demu nimempata hapa chapu naomba funguo niende nae gheto kwako nikapige chapu" Nikazima simu kabisa Baadae analeta makasiriko Yani ukamwage shahawa zako na Malaya wako...
22 Reactions
67 Replies
919 Views
Hii ni special kwa wanaume wajinga wajinga wasio jielewa wale familia yake inaendeshwa na mke wake. Hawa mara nyingi sana husema mwanamke kama anataka kukuchiti atachit tu hata kama umchunge...
6 Reactions
23 Replies
537 Views
Ama kweli mshika kumi, kenda humponyoka. Leo ndio nimejua ni maumivu kiasi gani mwanaume hupata pale mchepuko wake mtiifu akiolewa. Niko home nasikiliza ngoma ya mapacha watatu ya "kuachwa...
29 Reactions
144 Replies
6K Views
Wadogo zangu mnaotaka au mnaokimbilia kuoa hii siri pekee ila ukweli ni kwamba marriage ni vita katik ya mwanamke na mwanaume Before marriage mwanaume unaweza ukamfanya chochote kile mwanamke...
15 Reactions
22 Replies
628 Views
Aisee mimi sitosahau, yule dereva sijui alikua kaweka mafuta gani yaani, na yeye ndie alikomalia tupite huko. Sababu ile tumeianza tu rough road pembeni nikaona tope la manjano na harufu ile...
20 Reactions
102 Replies
8K Views
Ndugu zangu, Naamini mnaendelea vema. SAMAHANI KAMA NITAWAKWAZA: Naomba msaada wenu kwa anayejua kuhusu SIFA NA TABIA za wanawake wa KIIRAQ au WAMBULU na majirani zao WARANGI. Na pia naomba...
7 Reactions
71 Replies
2K Views
Miaka kadhaa iliyopita, wakati napambana na utafutaji, ndugu yangu alinipigia simu kuniomba nikasimamie biashara yake aliyokuwa ameanzisha. Tulikubaliana kuwa kila mwisho wa wiki ningempa shilingi...
11 Reactions
30 Replies
645 Views
1. Usijaribu kumfia Mwanamke: Usivimbe kichwa kwa jinsi mwanamke anavyokusifia eti unamkuna kisawasawa,eti unajua mapenzi, au akikuambia jinsi unavyojali familia yao, au kwa jinsi unavyomhudumia...
31 Reactions
45 Replies
1K Views
Wanawake wanakuwaga na changamoto za hapa na pale zisizotabirika ila kupitia uume uliosimama vyema huwa tunawatuliza kupitia lile tendo. Mwenye visirani visivyoeleweka dawa yake ni mtinyama. Piga...
8 Reactions
17 Replies
449 Views
Hii ilikuwa ni moja ya ndoto zangu kuwa ipo siku hawa wasanii tunaowaona niwatu wasiogusika nitawalala tu. Tukio lilitokea Jana usiku ilikuwa kama ndoto vile kumbe kweli. Ni msanii mkubwa sana wa...
96 Reactions
375 Replies
38K Views
Iko hivi, 1. Leo nimegundua kuwa mwanamke ninaempenda sana ana ugonjwa ambao ni mtihani kwa watu wengi sana. 2. Ndugu zake wamekuwa wakiniharakisha nimuoe huyu binti tangu mwezi ule wa kwanza wa...
14 Reactions
50 Replies
2K Views
Back
Top Bottom