Habari wana jamvi ! poleni na hongereni kwa kila jambo mwaka fulani nilifanikiwa kupata kibarua kampuni (X), hapo baada ya miezi nilikutana na mwanamke mmoja mrembo kwa taarifa nilizopewa yeye...
Nilikukuta umechoka mbwa wewe unalala sebuleni kwa rafiki yako eti umetoka huko ulikotoka kuja kutafuta kazi baada ya kuzalishwa watoto wawili uliowaacha kwa mama yako.
Nikakupenda kutokana na...
Asalam aleiko
Moja kwa moja kwenye Mada
Siku za hivi karibuni nimeanzisha harakati za kuzitandika mbususu ipasavyo na tena bila huruma.
Sasa cha ajabu kati ya mbususu 10 ninazokutana nazo basi...
Ciao.!
Tushakubali kuwa hamko romantic ila punguzeni usela kwenye mapenzi.
Yan ukiwa na pisi ya kichaga inakuchanganya mpaka unashindwa kuelewa wewe ni mshikaji wake, kaka yake au mpenzi wake...
Nimeamua niwasanue vijana wenzangu tafuta wa umri wako hawa km zimesoma sana wasipokupiga na UKIMWI wanakupiga na homa ya in.
Wa mama watu wazima kuanzia 40 wanapenda sana kugongwa
Imenichukua miaka 10 kujua wanawake wanaenda gym kutafuta wanaume.
Yaani gym ni danguro la wazi. Na baadhi ya wanaume(Wachache) wanaenda gym kutafuta wanawake.
Mimi siku zote najua gym ni sehemu...
Niko mbali kidogo na kwangu ambako niseme nje ya Bara la Africa kabisa,
Mke wangu kakwama sehemu akawa amemuomba msaada jamaa yake mmoja msaada bila kunihusisha, sasa lichojibiwa ndo...
Shikamoo wakuu kama kichwa cha habari hapo juu. Ukiona mke wako anakunyima unyumba na hana time na wewe ujue hana hisia na wewe. Mwanamke anayekupenda lazima akumiss na hasiti kukuomba akiwa na...
Wakuu poleni sana na majukumu,,..ama Kwa hakika kwenye hili jukwaa wapo wataalamu na wajuzi na wenye experience katika maswala ya mahusiano..Niende Moja Kwa Moja kwenye mada na kiufupi...
Hivi kuna nchi yoyote duniani ambayo ni rahisi kuwa maarufu kama Tanzania maana kwa uchunguzi wangu nadhani tanzania inaweza kuwa Top ya nchi ambazo wananchi wake wana feed taarifa nyingi sana...
Leo nimefika grocery moja hapa mtaani,kuna mtoto mmoja mgeni mzuuuuuriii..Sasa nimeagiza nyagi naona mtoto ananishobokea sana mixer kunikiss..
Yan nimeingia tu nakutana na bonge la...
Kuna jambo ambalo nimekuwa nikiliona mara kwa mara hasa kwa watu wa kipato cha chini. Watu wengi hupenda kusema "usiamini mtu wa karibu, mbaya wako ni ndugu, rafiki au mtu wa karibu." Lakini...
Wazee, ipo hivi; kuna vijana tunahitaji sana, tena sana, kupata familia au kuanzisha familia na wenza wetu tunaowapenda. Shida inaanzia pale mzazi, yaani mkwe, unaponipimia mahari kama vile...
Baada ya jana kutua Bongo Leo Nimeenda saloon kunyoa, maandalizi si unajua tena, baadae naambiwa vua shati na vest tufanye scrub ya mgongo! Ha! sasa mimi nimekuja kunyoa nywele, hilo suala la...
Kuna dogo ana miaka 28 bado hajaoa ila ana girlfriend wake ambae wamejuana takribani miezi minne hivi bila tatizo, kaja kwangu kaka yake aje nimpe ushauri hasa ukizingatia binafsi nimeshaoa na...
Tupate maana tofauti tofauti ya Mapenzi
1 Ni hisia kali juu ya mtu ambaye mna jinsia Tofauti
2. Ni jaribu la kutesa moyo bila Utaratibu
3. Ni upofu wa Muda mpaka mtakapo achana
Najua kila...
Habari..
Nilicho kuja kugundua kwa hawa mabinti wa kilokole wanaojiona wafia dini, nyuma ya pazia wanapenda sana kunyanduliwa ipasavyo .
Bint utamuona ni mlokole haswa mbele ya jamii na mbele...
Love a woman she will use you, you put her first she puts you last.
You text back in 2 minutes she leaves you on read for 2 days.
You open your heart she opens her legs.
Use a woman she will...
Kwanini mara nyingi wanaume wanaopewa limbwata ni waswahili au waafrika? na unashangaa wazungu wanawapenda waafrika wanawake lakin hawapewi limbwata?
Au tafsiri ya limbwata ndo tunakosea, au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.