Chadema 2030
JF-Expert Member
- May 5, 2025
- 1,911
- 3,736
Maisha ya ndoa enzi ya kale ilikuwa bora heshima ili dumu, ila saivi utapel tu hamna kitu.
Ndoa sai haiheshimiki na talaka zimejaa kibao.kwa sai sioni haja ya kuingia kwenye ndoa bora uwe na wachumba. maana ndoa sai imejaa utapel na tena mkiachana mnagawa mal kati.na unakuta mwanaume asilimia kubwa ndio mwenye mali.
Ndoa sai haiheshimiki na talaka zimejaa kibao.kwa sai sioni haja ya kuingia kwenye ndoa bora uwe na wachumba. maana ndoa sai imejaa utapel na tena mkiachana mnagawa mal kati.na unakuta mwanaume asilimia kubwa ndio mwenye mali.