I wanted to help but i found your post so generic....unaweza ukajaribu kuelezea angalau kwa undani kidogo some circumstances ambazo zimekufanya uka-draw conclusion ya namna hii? Kwa mfano inaweza kuwa u hate women so much, you do not treat them well, you have never been able to forgive them, you just like to be alone and when anybody comes close to you unaona kama anakuharibia utulivu wako, inawezekana kuna influence ya age kwa wale ambao tayari umeshajaribu "wakupende"....kwa hiyo ukiexpand post yako itasaidia ku-pick scenario ambayo itasaidia mtu kukusaidi kwa ushauri sahili
Unless otherwise iwe ni taarifa tu na sio ombi la msaada wa kimawazo na ushauri
wananipa headache,yan kila ninae mpata sidumu nae,wanataka vitu ambavyo mim siwezi kuwatimizia,so bora nijitoe tu kwenye hyo ligi ya mapenzi mkuu.
wananipa headache,yan kila ninae mpata sidumu nae,wanataka vitu ambavyo mim siwezi kuwatimizia,so bora nijitoe tu kwenye hyo ligi ya mapenzi mkuu.
Nimeamua kujikalia zangu pembeni tu na kujipenda mwenyewe.
umejaribu kuangalia aina ya wanawake unaowatokea?...au wewe mwenyewe unabehave vipi pale unapowatokea?.....
na hakuna kitu kizuri kama hicho..
KUJIPENDA MWENYEWE kwanza...
njoo ufanyiwe maombi
mungu hapendi kwani anasema penda jilani yako kama unavojipenda(sio udini lakini)
Utakuwa umefanya la maana sana kukaa kimwenyewe. maana hawa watu wa upande wa pili ni wasanii sana.