Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

jaman network searchng....., available, searchn............., jaman wanawake wafanyabiashara ni balaa tupu! Simu haizimwi,nimechoka naye, ugomv wetu ni cmu, uko uwanjan hajal ni kona, goalkick, au...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
On your birthday, I wish you only smiles and joy A wonderful celebration, a gathering of friends, great happiness and joy that never ends. May your special day be filled with memories and...
7 Reactions
122 Replies
29K Views
Jamani wale wenzangu na mie wadadakwa wakaka tunaopanda daladala.. utakuta mtu kwenye daladala anasikiliza mziki kwenye simu yake simu yenyewe ya kichina, nasema ya kichina cz ni simu...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
salam sana.nilijaribu kufanya ka uchunguzi nikagungua wanawake wengi wenye sura za kuvutia wapo katika hatari ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa ikiwamo UKIMWI.Pia wengi wao hawajui mapenzi na ua...
0 Reactions
33 Replies
13K Views
Nawasabahi waungwana...maranyingi ktk mijadara isiyorasmi swaala hili limekuwa likijadiriwa na mwisho wa hiyo mijadala watu wamekuwa wakikubaliana kuwa ni kweli kwamba wanaume wasio-kunywa...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Unakuta boy na gal wake wanakutana mahali,let say rum kwa mshkaji, wana do haraka haraka,thn hata hawaogi,wanaondoka hvo hvo kwenda kwenye misele yao.nimeisha shuhudia visa vya namna hi mara...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Imefahamika kuwa vitendo vya kishoga kwa our fellow brothers wa kitz wanaoishi Atlanta GA vimeshika kasi ya ajabu.Wengi wamekuwa wakifanywa vitendo hivyo kwa kutafuta urahisi wa maisha.Hii...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Wote tunavaa nguo zinazo itwa nguo za ndani, boxer, nguo ndogo, chupi ni baadhi ya maneno yanayo tumika. Swali: Ivi nani anawajibu wa kumFulia mwenzie nguo yake ya ndani. (mke /mume/HG ?).
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Eti jamani ni kweli mchumba anatafutwa kwa mitandao kama huu
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mara nyingine unaweza kujiuliza kwanini mtu kachagua ID fulani, Unaweza kucheka, kuchukia au kubaki kawaida na maswali yako. Kwa upande wangu nastahili kuitwa/ kujiita mcharuko. Naongea kutoka...
5 Reactions
152 Replies
16K Views
Mwenzenu huwa nawazimia sana akina dada wajawazito. Hivyo naomba tuwasilane
2 Reactions
47 Replies
4K Views
Habari zenu wana MMU? Mwenzenu nina changamoto nahitaji kujua kama nanyi pia mna/mmekutana nalo katika maisha ya urafiki na uhusiano na je mlitatua vipi? ili na mimi niweze kujiona sawa...
10 Reactions
147 Replies
10K Views
jamani mnakumbuka kuhusu yule mpenzi wangu wa humu kutokana na hali ya ujauzito nilionao na swala la kufunga ndoa ,inabidi tupime afya zetu kiukweli naogopa sana jamani nisaidieni naona furaha...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Ni kisa cha weekend kwa kweli; jamaa yangu mmoja kaja juu dhidi ya mke wake kwa sababu mkewe ka-admit kwake kuwa ni kweli yuko attracted to a co-worker japo huyo co-coworker hajajua kabisa...
4 Reactions
73 Replies
5K Views
Erased by sender
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Ref thread yangu ya kutafuta rafiki leo ndo mwisho wa kUni pm asanteni sana matokeo hapa hapa jamvini
0 Reactions
67 Replies
10K Views
Huyu mrembo popote pale alipo anatafutwa.
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Nina rafiki yangu, yuko majuu kutafuta riziki, kaacha mke Bongo, jamaa ataka kila mara akimpigia simu mkewe, aambiwe kila kitu na mkewe, katongozwa, kachokozwa na watu na kila udaku mtaani. Mke...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wapendwa kuna mpangaji mwenzangu kapata demu mcheza shoo anampenda sana tatizo huyu demu kila cku anarud saa 9 au 10 alfajiri na anakuwa amechoka sana kutokana na kaz yake ya kukatika majukwaani...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
wanawake,hivi huwa mnajisikia wanaume wasipowatongoza?kuna binti rafiki yangu na huwa tunashauriana mengi,amenipa malalamiko na amekuwa na majonzi katika maisha yake, kuwa ni muda sasa,yapata...
0 Reactions
95 Replies
7K Views
Back
Top Bottom