Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kesi ya wanaume kupungukiwa nguvu za kiume zimezidi kushika kasi, kiasi cha kufanya dawa za kuongeza nguvu hizo kuwa maarufu na zenye mahitaji makubwa katika jamii. Waganga wa kienyeji...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
got some peoples attention!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
In a continent where half the men do not know their daughters birthday, their wedding anniversary or the menstrual cycles of their wives, there is a reason these men are the way they are. It is...
9 Reactions
94 Replies
7K Views
Leo ofisini kwangu nimeshuhudia tukio la kushangaza..Katibu muhtasi wangu[P/S] alimkimbia mgeni wake na kwenda kujificha.Mgeni baada ya kuona hapewi ushirikiano aliamua kuaga na kuondoka. Cha...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
A new study finds that not only do men often say "I love you" first in relationships, they're often happier than women when they hear the three little words said to them. The bigger happiness...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hi, wana jamii, Ndo kwaaaaaanza natokea kwa mara ya kwanza na mada yangu hii, ivi ebu vuta hisia siku ambayo unahisi kukutana na msichana au mvulana katika mazingira flani ya sherehe au...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Jana katika pitapita nikakutana na jamaa amekaa na binti mmoja sehemu ninapopata kinywaji jamaa alipoenda toilet nikaomba namba kutoka kwa yule binti na mistari miwili ya kiutani baada ya...
1 Reactions
33 Replies
6K Views
Nimemvalisha mchumba wangu pete ya gharama last week nimemfumania na jana usiku ameolewa na huyo jamaa nilomkuta nae. Inauma sana nafikiria nijiue au niende mbaya ya tanzania.coz anajulikana...
1 Reactions
72 Replies
7K Views
Hello everyone, what vital factors are you supposed to consider as you prepare to meet a blind date, that gonna happen tommorrow. what do you think? Please help me?
0 Reactions
44 Replies
4K Views
MIMI ni member mpya wa jamii forum kwa hiyo natafuta rafiki wa kike kwa ajili ya urafiki wa kawaida na pia awe anasoma chuo kikuu ili tubadilishane mawazo kuhusu masuala ya elimu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1. USIWEKE PASSWORD KWENYE SIMU KWA KUMWOGOPA MWENZA AU MCHUMBA WAKO 2. USINDANGANYE UMRI ILI KUKUBALIWA 3. USIWE NA NYUMBA NDOGO 4. USIDANGANYE KUWA BIKRA WAKATI HUNA 5. USIFANYE MAPENZI KABLA YA...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Je wewe unamdekeza hivyo mwenzi wako, au unaishia kumpiga miti tu?
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kipekee niwapongeze kwa kuwa na familia. Raha ya familia hunifanya niamini kuwa family is a gift from God na sote tuna responsibility ya kuwajibika kuifanya kuwa sehemu ya pekee kwenye mzunguko...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Woman Stabbed Boyfriend Over Alleged Monopoly CheatingBy Colleen Curry | ABC News Blogs – 13 hours ago tweet93 Share10 Email Print Laura Chavez is shown in this Santa Fe County Jail booking...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
A person who responds to you with patience, kindness, and he/she is not envious of you? A person who is not boastful or prideful? A person who is not rude toward you or self-seeking or easily...
0 Reactions
1 Replies
790 Views
Ameamua kutoro na elfu22 saa mbili usiku.saa nee ikatolewa taarifa polisi.kesho tukampigia rafiki yake wa kiume kijijini kama ana taarifa nae.yule wa kajijini kasema amepigiwa simu na huyo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Salamu zinarushwa live and exclussive kutoka Bukoba Club. Nimewamiss sana wana MMU
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Ninaangalia Kenya's TV inayoitwa K24 kipindi kinaitwa connect, wadada wawili wajadili sababu za mwanaume kukojoa mapema wakati wa kufanya mapenzi (Premature ejaculation) na jinsi ya kufanya ili...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
ni makosa makubwa kwa mtu yeyote kukujua au kujua id yako hapa jf kuna dada mmoja amenijua na tukapeana user name zetu huko facebook yaani ananifatilia sana halafu inaonekana ni mfuasi wa magamba...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamani nisaidieni huyu mwana mke simuelewi sijui ndo usomi mimi na yeye wote tume graduate mwaka jana.mkewangu akiwa na mimba tulielewana kuwa akiwa mtoto wa kike jina amchagulie yeye na akiwa...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Back
Top Bottom