KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wanaume walio wengi wako hivi;
Wakiwa na mpenzi wanapenda wanyenyekewe wasibanwebanwe haya mapenzi ya sweetie baby honey hawapendi mojakwamoja kwa huona kama unamghasi anataka mapenzi hayo umpe wakati mpo wawili sivinginevyo kwenye public ndo kabisaa anaona kero!
Akiwa na mwanamke anataka awepo amwone nayeye hawe na uhuru wake binafsi ila asigongwe kwingine wivu huwa asilimia na hamsini!!ila yeye akagonge!Akiponyoka yule mwanamke hapo ndo huona umuhimu wa yule mwanamke japo hapo mwanzo aliona kama kibrudisho fulani!Hivyo ndivyo tulivyo wanaume mtusamehe sana ndotulivyo umbwa!
Wakiwa na mpenzi wanapenda wanyenyekewe wasibanwebanwe haya mapenzi ya sweetie baby honey hawapendi mojakwamoja kwa huona kama unamghasi anataka mapenzi hayo umpe wakati mpo wawili sivinginevyo kwenye public ndo kabisaa anaona kero!
Akiwa na mwanamke anataka awepo amwone nayeye hawe na uhuru wake binafsi ila asigongwe kwingine wivu huwa asilimia na hamsini!!ila yeye akagonge!Akiponyoka yule mwanamke hapo ndo huona umuhimu wa yule mwanamke japo hapo mwanzo aliona kama kibrudisho fulani!Hivyo ndivyo tulivyo wanaume mtusamehe sana ndotulivyo umbwa!