Naitw dick-masomoni dodoma.Natafuta msichana atakayekuwa tayari kwa uchumba!awe na tabia njema na mcha Mungu!pia awe na sifa zifuatazo
1.umri 22-26
2.awe na elimu f4 na
kuendelea
3.mkristo...
Naheshimu sana mafunzo na mawaidha wanayopewa wanawake katika kitchen party zao, na nampa big up sana AdhaDii (kama sijakosea kwa uzi wake wa kuwanoa wake zetu aliouweka hapa siku kadhaa...
I met my husband 3 years ago; he was introduced to me by a mutual friend. We started distance dating for 6 months as he was far away from me, although I had not met him before my instincts told me...
Juzi niliandika waraka kwa wana JF wote kuwatakia heri ya Christmas na mwaka mpya na pia kuwamkumbusha machache kuhusu maisha na mienendo ya mahusiano ikiwemo inf ...!
Leo hii, kuna ndg kani-PM...
uchunguzi nilioufanya hivi karibuni, nimegundua kuwa baadhi ya wanaume walioa hawapendi kutoka outing na wake zao na badala yake hupenda kutoka na rafiki zao wengine wa kike au marafiki wa kawaida...
Amani kwenu wadau. natumai wote mu wazima..nahitaji msaada ktk hili. Je muda
wa kuoa / kuingia kwenye ndoa ni upi?..na Je ni sahihi kuangalia kigezo cha umri
au kazi kabla ya kuamua kuingia kwenye...
A professor once said that the reason why women rejoice greatly during their weddings while the men keep a straight faces was because, the woman feels like:"oh, at last I have nailed him!" and the...
Dear Wana MMU,
Shukrani za kipekee ziwafike kwa michango yenu ambayo binafsi, naamini imemnufaisha kila mmoja wetu si tu kwa mada ziliopostiwa hata kwa comments za wadau zenye ushauri mzuri wa...
Mvulana kamtumia msichana friend request,wanajuana tangu zamani tu,kama wanafunzi waliosoma pamoja.chakushangaza kusuggestiwa awa add kama marafiki ndugu zake yule msichana wote..kuanzia mdogo mtu...
Natafuta mchumba,awe anajiheshimu,mchangamfu asiwe mrefu sana yan awe size ya kati and any colour is ok.nipo chuo kikuu cha afya muhimbili nasoma na na tutor wa kampala university am jas 23 of age...
Umeingia kwenye Bus una safiri, safari inayochukua zaidi ya masaa 20.
Hukuwahi kukata ticket mapema, kondakta anakwambia zimebaki nafasi mbili ambapo unakuta seat ni
2 x 2 (abiria wawiliwawili)...
Nampenda na yeye ananipenda. Kinachoniumiza kuna watu wanaonifahamu wanamfeed mambo yangu ambayo hayamvutii. Kuna wengine wanamtajia wasichana niliowahi kuwa nao. Mwingine alifika mbali zaidi na...
Asilimia kubwa ya wanawake wanawaza kuwa na wanaume wenye fedha nyingi, magari mazuri nakadhalika, je ni wanaume wanangapi walivyo navyo hivyo vitu na je, hao wenye navyo wanakidhi idadi ya...
Salaam kwenu wanaJF, mi mvulana mwenye umri wa miaka 22, natafuta rafiki wa kike wa kuchati nae, kubadilishana mawazo na uzoefu mbalimbali, sibagui kabila wala dini ila umri usipishane sana na wa...
Jamaa alijikuta akimtongoza mkewe wa ndoa na kuumbuka kwa ukiwembe na tamaa zisizo na mpango maana mkewe ni mzuri na mwenye tabia njema. Kilichotokea ni kuwa jamaa alienda pale chuo cha IFM na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.