Unaoa kabila au mtu?
hawatofautiani tabia huyo binti uliyenae
si ndo yule aliyefumaniwa igunga?
Kiomboi kisiriri. huko utakuwa unakula kuku mpaka ukimbie.mmoja wa wasifu ni kuwa wamekeketwa.
Duh mkuu, me ndo natoka hukohuko Kiomboi. Cha msingi mzee jaribu kupeleleza kidogo family background yao halafu muombe na Mungu jibu litakuja. Nimejaribu kumentiontion back ground kwa kuwa kidogo wenyeji wengi wa hapo mambo ya ushirikina hayako nyuma sana kwao, usije ukaingia chaka.Naombeni WASIFU wa mabinti wa Kinyiramba. Mimi ni Mchaga. Nimebahatika kupata binti wa kabila kilo, maeneo ya kiomboi. Ni mtaratibu na mpendelevu. Kabla sijafanya/kumtamkia uamuzi wangu, nimeona bora niombe ushauri kwenu waungwana. Nini wasifu wa tamaduni/kabila katika maisha ya ndoa. Naombeni Ushauri.
Duh mkuu, me ndo natoka hukohuko Kiomboi. Cha msingi mzee jaribu kupeleleza kidogo family background yao halafu muombe na Mungu jibu litakuja. Nimejaribu kumentiontion back ground kwa kuwa kidogo wenyeji wengi wa hapo mambo ya ushirikina hayako nyuma sana kwao, usije ukaingia chaka.
sigienet, kwanza naomba ku declare interest, mimi sio Mnyiramba, ila Mzee wangu (rip) alioa, mama wa Kinyiramba na ameacha nyumba mbili pale Old Kiomboi ziko katika majina ya mama!.Naombeni WASIFU wa mabinti wa Kinyiramba. Mimi ni Mchaga. Nimebahatika kupata binti wa kabila kilo, maeneo ya kiomboi. Ni mtaratibu na mpendelevu.
Kabla sijafanya/kumtamkia uamuzi wangu, nimeona bora niombe ushauri kwenu waungwana. Nini wasifu wa tamaduni/kabila katika maisha ya ndoa. Naombeni Ushauri.
sigienet, kwanza naomba ku declare interest, mimi sio Mnyiramba, ila Mzee wangu (rip) alioa, mama wa Kinyiramba na ameacha nyumba mbili pale Old Kiomboi ziko katika majina ya mama!.
Wanyiramba kwanza
1. ni warembo,
2. ni wazuri,
3. si wavivu kunako
4. wana roho mzuri
5. wanyenyekevu
Ila pia
6. Ni wajanja
7. Hawana hiyana kutoa misaada kwa wengine (utasaidiwa) ila ni wapangaji wazuri wa ratiba zenu zisiingiliane!
8. True Love sio issue kubwa sana kwao.
9. Ni wataalam wazuri wa tamaduni za kiasili za kiafrika (ndumba)
10. Pia ni Gold diggers!
Acha kudanganya watu hapa. Wanyiramba hawakeketwi