. . . . kwa wote waliopoteza wapendwa wao.
Crossroads - Bone thugs
Krayzie:
Now follow me roll stroll whether it's hell or it's heaven
let's come take a visit of the people that's long...
1. When a ship sinks, women (and children) get off first.
2. A woman can hug her best friend without worrying she'll think she's gay.
3. Women can talk to attractive members of the opposite...
Habari wana Jf!!
Nikiwa nimetoka kanisani mwenge, nikapanda gari za ubungo kupitia chuo kwani nlikuwa naelekea campus.
Nikiwa kwenye gari mbele yangu alikaa mwanaume aliyekuwa amempakata mtoto...
Leo asubuhi nilikua nafikiria kitu nikajikuta naangalia mahusiano na ndoa kwa namna ambayo sikuwahi kabla. Mimi na wewe ni kama vipande vya puzzle ....you've got your share and I have got...
Mara chache sana huwa tunathamini nafasi ya harufu zetu katika kujenga au kubomoa mahusiano kati yetu na wale tuwapendao.......Misemo ifuatayo midomoni mwetu katika jamii yaonyesha harafu ina...
Yaani kuna binti mmoja wa kisukuma....................roho yangu ilimzimia sana enzi zangu zile zilipendwa....................nikashindwa kuvumilia nikamgongea hodi kuwa twende matanuzi...
Unaweza ukaona kama pengine ni changamsha genge lakini hii kitu ni kweli kuna mwanaume hili jambo linamkumba kwa muda sasa.
Mwanzoni sikumuamini, lakini imebidi nifike kuamini ukweli huu.
Mpenzi...
mtu kama huyu anatufundisha nini ktk jamii..ama anawafundisha nini wakwe zake ama watoto wanaoudhuria harusi yake..anyway binfsi nimekuwa na maswali mengi nani kamweka hiyo tatuu na ukichungulia...
naombeni msaada wenu wanajamii. Kuna demu hapa kitaa nampenda naye ananipenda. hivi karibuni wakati bado tunaendelea kufahamiana zaidi wakaachana na boyfriend yake lkn nashangaa nikimkaribisha...
Why Black Women Are So Attractive
By
Zeus (Web source)
Growing up, I lived in the city all my life, and went to a public school. This was a blessing, because it
allowed me to be around...
wengi wameshaur ntupie sifa zangu binafsi.age angu 24 yrs,mchaga,busnesman, present location-Ta,home town-k'njaro-tarakea,ndoto yangu ni kupata girlfrend through social networks.nimeblock...
Wakuu JF.
Hii imetokea maeneo ya Kijitonyama Dar es Salaam Hongera Bar.
Jamaa mmoja alikuwa kalewa na kuanza kuwatolea maneno ya dharau na kejeli vijana wawili waliokuwa wamekaa nae meza...
habarini wanajf, kuna tatizo ambalo nahisi linasumbua wa2 wengi, ni hivi mnapoanza relation mpk level nyingine ni nani anatakiwa awe wa kwanza kumtamkia mwenzake kuwa wakajitambulishe au kufunga...
Natumai tukianzisha mapenzi ya aina hiyo tataheshimiana sana.Kwamba leo naanzisha mahusiano na wewe lakini tambua kuwa ifikapo tarehe xx/x/xxxx ujue uthamani wako kwangu umekwisha lakini kwa...
.
hii ni kwale wanandoa wote mnaoooana leo hiii
hata ufanyeje usijlinganishe na mwenzako hata siku moja ndoa nyingi zimeugua na zingine kufia hata azijafika ICU sababu ya kutaka kuishi maisha siyo...
Wadau mwenzenu nimejaaliwa kuwa na marafiki wengi sana ukiachilia mbali wale niliofahamiana nao katika maisha ya shule na nika-maintain urafiki nao, lakini bado katika mazingira ya kazi na maisha...
Ndugu zangu,habari zenu.
Ni matumaini yangu kuwa sote tunaendelea vizuri na majukumu yetu ya kila siku.
Ndugu yenu nimepata namasaibu yanayonitatiza na sijapata ufumbuzi. Ni hivi,nimejigundua...