Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pombe? Nafasi? Mahaba?
Pombe? Nafasi? Mahaba?
pombe ikizidi ina nafasi ya kuondoa amani ktk ndoa.
mmh ! mbona ujaeleweka Lizzy
dearest, una ndoa??
Za kuamka Cheusi, shemeji hajambo....hapa anaongelea MAHABA...specifically....!
Pombe ina nafasi gani ktk mahaba...?
Nnayo dearest, sema bado changa.
uko wapi ww unayesema za kuamka wkt watu tunajiandaa kulala saa hizi?mm na shemeji yako hatujambo ila tu huzun imeni
kwa vile amesema kwa wenye ndoa tu ndo maana na mm nikamwambia itaondoa aman ktk ndoa nikimaanisha kuwa kama hakuta kuwa na amani hata hayo mahaba hata kama hatayaisha kabisa lkn nafasi ya kupeana mahaba kama kipindi aman ilipokuwepo haitakuwepo.
Pombe ina nafasi gani ktk mahaba...?
pombe ikizidi ina nafasi ya kuondoa amani ktk ndoa.