swadaktakama unataka ndoa tafuta mtu ambae na yeye anatafuta ndoa sio lazima ukiwa kwenye relationship ni lazima ndoa ifungwe
mimi ni msichana natafutwa na anaenipenda sio mimi nitafute wala kumpenda mtu.inachoshasmile kama ww ni msichana unatafutwa au unatafuta?