BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Kwasababu wanaamini hiyo ndio njia pekee ya kumpata mwanamke dearest. Wenyewe hua wanasema "tunapenda kudanganywa" alafu wakija kugeukwa baadae wanashangaa.Kama alikuwa na gari nimeingia kwenye ndoa kwasababu ya hilo gari nikagundua si lake,kwa kweli hakitaeleweka. Ndoa inakuwepo kutokana na misingi na matarajio fulani fulani, misingi ya kuwepo kwake ispokuwa sahihi hata misingi ya kuvunjika kwake itakuwa vivyo hivyo...Hakuna sababu ya kusema uongo,mtu akupende ulivyo na kwa ulicho nacho....kwanini umdanganye una gari wakati we fundi gereji tu??
Ulishagundua wangapi waliokufanyia hivyo,hasa wenye magari kumbe ni lala Mama home? And you discovered it not less than a year in relationship and you did and enjoyed each and everything except wedding.Kama alikuwa na gari nimeingia kwenye ndoa kwasababu ya hilo gari nikagundua si lake,kwa kweli hakitaeleweka. Ndoa inakuwepo kutokana na misingi na matarajio fulani fulani, misingi ya kuwepo kwake ispokuwa sahihi hata misingi ya kuvunjika kwake itakuwa vivyo hivyo...Hakuna sababu ya kusema uongo,mtu akupende ulivyo na kwa ulicho nacho....kwanini umdanganye una gari wakati we fundi gereji tu??
Kwasababu wanaamini hiyo ndio njia pekee ya kumpata mwanamke dearest. Wenyewe hua wanasema "tunapenda kudanganywa" alafu wakija kugeukwa baadae wanashangaa.
Ulishagundua wangapi waliokufanyia hivyo,hasa wenye magari kumbe ni lala Mama home? And you discovered it not less than a year in relationship and you did and enjoyed each and everything except wedding.
​AD umeni guuusa hapo,hmmmmmmmm
mnh si hapa jamaani,huuuuuuuuuhm,we hujajua tunimekugusa wapi??
mnh si hapa jamaani,huuuuuuuuuhm,we hujajua tu
Kama alikuwa na gari nimeingia kwenye ndoa kwasababu ya hilo gari nikagundua si lake,kwa kweli hakitaeleweka. Ndoa inakuwepo kutokana na misingi na matarajio fulani fulani, misingi ya kuwepo kwake ispokuwa sahihi hata misingi ya kuvunjika kwake itakuwa vivyo hivyo...Hakuna sababu ya kusema uongo,mtu akupende ulivyo na kwa ulicho nacho....kwanini umdanganye una gari wakati we fundi gereji tu??
Michelle,
U r very right kwenye swala la gari hapo ambalo ni kama mfano. Ndio maana marekani ukiwa celebrity wife alishazoea kwenye Paris shopping kwa mwezi mara mbili ukim divorce lazima ulipe hizo gharama ili amentain maisha yake.
Asante kwa ufafanuzi huu Maundumula, inaboa sana umeolewa na objective zako,unafika ndani unagundua ulidanganywa, ni ngumu sana....!!
Kama alikuwa na gari nimeingia kwenye ndoa kwasababu ya hilo gari nikagundua si lake,kwa kweli hakitaeleweka. Ndoa inakuwepo kutokana na misingi na matarajio fulani fulani, misingi ya kuwepo kwake ispokuwa sahihi hata misingi ya kuvunjika kwake itakuwa vivyo hivyo...Hakuna sababu ya kusema uongo,mtu akupende ulivyo na kwa ulicho nacho....kwanini umdanganye una gari wakati we fundi gereji tu??
ahhhhh mambo ya ndoa yako complicated sana bana..... Bora niangalia Mr.Bean kuondoa mawazo.
some time uongo unasaidia sana hasa katika swala zima la mahusiano.
dawa yao ni kuwalipa kutokana na matendo yao halafu kama uwezekano upo unachapa mwendo....ambu fikiria, wewe umempenda huyo mtu kutokana na yeye kuja kukuchukua nyumbani kila siku unaepukana na adha za daladala, kufika ndani kaonyesha ukweli wake kuwa gari si lake.....hapo unafanyeje,its either anunue lake au akusahau...lol...chezea material girls...eeh,they mean business!
dawa yao ni kuwalipa kutokana na matendo yao halafu kama uwezekano upo unachapa mwendo....ambu fikiria, wewe umempenda huyo mtu kutokana na yeye kuja kukuchukua nyumbani kila siku unaepukana na adha za daladala, kufika ndani kaonyesha ukweli wake kuwa gari si lake.....hapo unafanyeje,its either anunue lake au akusahau...lol...chezea material girls...eeh,they mean business!