Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
mtu kama huyu anatufundisha nini ktk jamii..ama anawafundisha nini wakwe zake ama watoto wanaoudhuria harusi yake..anyway binfsi nimekuwa na maswali mengi nani kamweka hiyo tatuu na ukichungulia sana unaweza kuta majina ya watu..hawa madada zetu wanaandika majina sehemu nyeti bila kujua kuna MAHUSIANO YA MUDA NA MILELE