Tafadhari naomba usome hii na uchangie mawazo yako yenye HEKIMA.

bampami

JF-Expert Member
Nov 5, 2011
5,697
4,107
Habari wana Jf!!
Nikiwa nimetoka kanisani mwenge, nikapanda gari za ubungo kupitia chuo kwani nlikuwa naelekea campus.
Nikiwa kwenye gari mbele yangu alikaa mwanaume aliyekuwa amempakata mtoto kwa kumwangalia ni kama ana wiki tatu, Mwanaume alionekana ana furaha zaidi kwa mtoto yule, akicheka kwa furaha na kuongea naye yaani mpaka uliyekaa naye unafurahi kwa aina ya upendo aliokuwa akionesha,nliwaona wamama wa3 na dada m1 wakitabasam tabasam zito kwa yule mwanaume kuonesha kuvutiwa na kitendo cha mwanaume yule. Cha ajabu sasa mkewe alionekana kutofurahishwa na kitendo kile ghafla alisikika akisema "Mi unavyofanya sipendi yani akili zako yote iko kwa mtoto hata unisikilizi wala kuongea na mimi hivi kwanini wewe?" tuliokuwa naye karibu wote tukabutwaa.
WANAJF, HIVI ALICHOKIFANYA MKEWE'/MMEWE' NI SAHIHI??

Tafadhari tuelimishane kwa hili.
 
Kwa furaha aliyokuwa anaionesha baba ni wazi mwanamke angefurahi kwa kile, naamini japo sijafika kwenye ndoa kwamba kwa aina ile ya wababa sijapata kuona na kama wapo basi ni wachache sana.Wengi wao wake zao wakijifungua still wanakuwa busy mbaya akijitahidi ni kuacha matumizi tu.Mda wa kukaa na mtoto na kucheza naye kidogo kwao ni nadra.
 
Eavesdropping, ndo tatizo! Ungewauliza ungepata jibu. Unajuaje huyo mtoto sio wa huyo mama (ni wa small house), au unajuaje aliposema 'sipendi unavyofanya' alimaanisha kitu tofauti walichoongelea mapema kabla hujaanza ku-eavedrop?
 
Habari wana Jf!!
Nikiwa nimetoka kanisani mwenge, nikapanda gari za ubungo kupitia chuo kwani nlikuwa naelekea campus.
Nikiwa kwenye gari mbele yangu alikaa mwanaume aliyekuwa amempakata mtoto kwa kumwangalia ni kama ana wiki tatu, Mwanaume alionekana ana furaha zaidi kwa mtoto yule, akicheka kwa furaha na kuongea naye yaani mpaka uliyekaa naye unafurahi kwa aina ya upendo aliokuwa akionesha,nliwaona wamama wa3 na dada m1 wakitabasam tabasam zito kwa yule mwanaume kuonesha kuvutiwa na kitendo cha mwanaume yule. Cha ajabu sasa mkewe alionekana kutofurahishwa na kitendo kile ghafla alisikika akisema "Mi unavyofanya sipendi yani akili zako yote iko kwa mtoto hata unisikilizi wala kuongea na mimi hivi kwanini wewe?" tuliokuwa naye karibu wote tukabutwaa.
WANAJF, HIVI ALICHOKIFANYA MKEWE'/MMEWE' NI SAHIHI??

Tafadhari tuelimishane kwa hili.
Mkuu kabla sijachangia hii ni GT na mimi huwa nayathamini mawazo ya kila mtu hata kama hayana hekima.
Pia sidhani kila mtu ana hekima,usikute hata wewe mwenyewe usingeuliza swali kama hili.Kama umeoa/kuolewa usingeuliza wala kushangaa hiyo familia hasa mwanamke kumwambia mumewe kama unavyodai.Ndani ya ndoa kuna changamoto nyingi,kwa kutumia hekima tu,unatakiwa ulitambue hilo.Na si kila kitu unachokiona ndani ya familia za watu unakurupuka na kuleta humu jf,tumia hekima.
 
Akina mama/dada wengi ni wabinafsi sana wana penda wajaliwe wao zaid ya mtu yeyote.
Baba alikuwa sahihi, mama hakumtendea haki baba na hata kama hakufurahishwa basi angekuwa mtulivu mbele za watu.
 
habari wana jf!!
Nikiwa nimetoka kanisani mwenge, nikapanda gari za ubungo kupitia chuo kwani nlikuwa naelekea campus.
Nikiwa kwenye gari mbele yangu alikaa mwanaume aliyekuwa amempakata mtoto kwa kumwangalia ni kama ana wiki tatu, mwanaume alionekana ana furaha zaidi kwa mtoto yule, akicheka kwa furaha na kuongea naye yaani mpaka uliyekaa naye unafurahi kwa aina ya upendo aliokuwa akionesha,nliwaona wamama wa3 na dada m1 wakitabasam tabasam zito kwa yule mwanaume kuonesha kuvutiwa na kitendo cha mwanaume yule. Cha ajabu sasa mkewe alionekana kutofurahishwa na kitendo kile ghafla alisikika akisema "mi unavyofanya sipendi yani akili zako yote iko kwa mtoto hata unisikilizi wala kuongea na mimi hivi kwanini wewe?" tuliokuwa naye karibu wote tukabutwaa.
Wanajf, hivi alichokifanya mkewe'/mmewe' ni sahihi??

Tafadhari tuelimishane kwa hili.

ana lake jambo huyo mama. Labda hakufurahia kitendo cha hao wanawake kumfurahia mmewe.
 
Habari wana Jf!!
Nikiwa nimetoka kanisani mwenge, nikapanda gari za ubungo kupitia chuo kwani nlikuwa naelekea campus.
Nikiwa kwenye gari mbele yangu alikaa mwanaume aliyekuwa amempakata mtoto kwa kumwangalia ni kama ana wiki tatu, Mwanaume alionekana ana furaha zaidi kwa mtoto yule, akicheka kwa furaha na kuongea naye yaani mpaka uliyekaa naye unafurahi kwa aina ya upendo aliokuwa akionesha,nliwaona wamama wa3 na dada m1 wakitabasam tabasam zito kwa yule mwanaume kuonesha kuvutiwa na kitendo cha mwanaume yule. Cha ajabu sasa mkewe alionekana kutofurahishwa na kitendo kile ghafla alisikika akisema "Mi unavyofanya sipendi yani akili zako yote iko kwa mtoto hata unisikilizi wala kuongea na mimi hivi kwanini wewe?" tuliokuwa naye karibu wote tukabutwaa.
WANAJF, HIVI ALICHOKIFANYA MKEWE'/MMEWE' NI SAHIHI??

Tafadhari tuelimishane kwa hili.
Usimlaumu huyo mama, kuna uwezekano mkubwa kabisa kuwa huyo baba ni mnafiki na alifanya hivyo tu mbele ya hao akina mama abiria ili kumkera mkewe.
Huwezi conclude kwa kuona hapo tu, labda ungeuliza, kuna wanaume na wanawake mabishoo akiwa mbele ya watu anafanya mambo ya ajabu mazuri ili kujionyesha mbele ya watu kumbe kwenye maisha ya kawaida hawako hivyo kabisa.
 
Mkuu kabla sijachangia hii ni GT na mimi huwa nayathamini mawazo ya kila mtu hata kama hayana hekima.
Pia sidhani kila mtu ana hekima,usikute hata wewe mwenyewe usingeuliza swali kama hili.Kama umeoa/kuolewa usingeuliza wala kushangaa hiyo familia hasa mwanamke kumwambia mumewe kama unavyodai.Ndani ya ndoa kuna changamoto nyingi,kwa kutumia hekima tu,unatakiwa ulitambue hilo.Na si kila kitu unachokiona ndani ya familia za watu unakurupuka na kuleta humu jf,tumia hekima.

Nashukuru mkuu. Ila naomba nikuambie ki2 cjaleta habari hii kama umbeya fulani LAKINI kuna ki2 nlichokiona nikajifunza lakini nilitaka nijifunze zaidi na ndiyo maana nlileta hapa kwa kuamini wapo wenzangu kwa namna moja ama nyingine wana uelewa zaidi na hivyo basi wanaweza kutumia uelewa wao kuelewa wao kuelimisha wengine nikiwemo mimi pia.Mangapi watu wameyaweka humu yamewaelimisha watu? Kama si maelfu?
Hivyo basi sidhani kabisa kama nimekosea!
 
Yote yanaweza kuwa majibu, SAHIHI ana SIO SAHIHI:

SAHIHI; alichikifanya mwanamke kinaweza kuwa sahihi kama tu, huyo mumewe alimsikia na akaamua kumpuuza, inawezekana mkewe alimuuliza jambo la maana yeye akampotezea kwa kisingizio anacheza na mtoto.

SIO SAHIHI; mwanamke atakuwa hayuko sahihi kama tu alisema maneno hayo kwa sababu ya wivu kwani jambo hilo halikuitaji yeye kuingiza wivu japo wivu kwenye mapenzi unaruhusiwa ila wa kiasi, lakini pia mwanamke atakuwa hayuko sahihi kama mumewe hakumsikia ila yeye akadhania mumewe kampuuzia.

Natumai wakifika nyumbani watayamaliza hao.
 
Yote yanaweza kuwa majibu, SAHIHI ana SIO SAHIHI:

SAHIHI; alichikifanya mwanamke kinaweza kuwa sahihi kama tu, huyo mumewe alimsikia na akaamua kumpuuza, inawezekana mkewe alimuuliza jambo la maana yeye akampotezea kwa kisingizio anacheza na mtoto.

SIO SAHIHI; mwanamke atakuwa hayuko sahihi kama tu alisema maneno hayo kwa sababu ya wivu kwani jambo hilo halikuitaji yeye kuingiza wivu japo wivu kwenye mapenzi unaruhusiwa ila wa kiasi, lakini pia mwanamke atakuwa hayuko sahihi kama mumewe hakumsikia ila yeye akadhania mumewe kampuuzia.

Natumai wakifika nyumbani watayamaliza hao.

Ahsante sana!!
 
Eavesdropping, ndo tatizo! Ungewauliza ungepata jibu. Unajuaje huyo mtoto sio wa huyo mama (ni wa small house), au unajuaje aliposema 'sipendi unavyofanya' alimaanisha kitu tofauti walichoongelea mapema kabla hujaanza ku-eavedrop?
Sawa sasa! kuna vitu huwezi kuona wala kujua kwa kuona watu kwenye gari tu!
 
Back
Top Bottom