ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Unaweza ukaona kama pengine ni changamsha genge lakini hii kitu ni kweli kuna mwanaume hili jambo linamkumba kwa muda sasa.
Mwanzoni sikumuamini, lakini imebidi nifike kuamini ukweli huu.
Mpenzi wake-bado hawajaoana- amekuwa na tabia ya ajabu kila wanapofanya mapenzi na mwanaume anapofikia mshindo, huyo huwa anakagua ujazo wa manii zilizopo kwenye kondomu. Anapoona hazijafikia ule ujazo ambao yeye anaona ni 'standard' basi huanzisha varangati kwa mwanaume. Hoja yake hapo ni kwamba lazima atakuwa huko alikotoka amefanya ngono na mwanamke mwingine ndo maana hizo manii zimetoka chache.
Na inapotokea jamaa kwenda safari kikazi, anaporudi huwa hana raha kabla ya kufanya ngono akihofia kama zitakuwa chache basi ni kasheshe tupu. Jana jamaa kasema anampango wa kuanza kwenda pekupeku ili aondokane na hiyo karaha ya kukaguliwa utadhani enzi zile za siku ya ukaguzi wa usafi wa miaka ya 80 shule ya msingi.
Jamani kina dada, wanawake na wasichana, huu ukaguzi sio mzuri na ni udhalilishaji kiukweli. Na kama mnavyoweza kuona mwanaume amepagawa hadi anaanza kufikiria kuingia kwenye kufanya ngono hatarishi sababu ya kero na udhalilishaji toka kwa mtu ampendaye.
Acheni hizoooooooooooo!
Mwanzoni sikumuamini, lakini imebidi nifike kuamini ukweli huu.
Mpenzi wake-bado hawajaoana- amekuwa na tabia ya ajabu kila wanapofanya mapenzi na mwanaume anapofikia mshindo, huyo huwa anakagua ujazo wa manii zilizopo kwenye kondomu. Anapoona hazijafikia ule ujazo ambao yeye anaona ni 'standard' basi huanzisha varangati kwa mwanaume. Hoja yake hapo ni kwamba lazima atakuwa huko alikotoka amefanya ngono na mwanamke mwingine ndo maana hizo manii zimetoka chache.
Na inapotokea jamaa kwenda safari kikazi, anaporudi huwa hana raha kabla ya kufanya ngono akihofia kama zitakuwa chache basi ni kasheshe tupu. Jana jamaa kasema anampango wa kuanza kwenda pekupeku ili aondokane na hiyo karaha ya kukaguliwa utadhani enzi zile za siku ya ukaguzi wa usafi wa miaka ya 80 shule ya msingi.
Jamani kina dada, wanawake na wasichana, huu ukaguzi sio mzuri na ni udhalilishaji kiukweli. Na kama mnavyoweza kuona mwanaume amepagawa hadi anaanza kufikiria kuingia kwenye kufanya ngono hatarishi sababu ya kero na udhalilishaji toka kwa mtu ampendaye.
Acheni hizoooooooooooo!