WanaJF, huwa kuna taarifa kwamba mme anaweza kutega
dawa kwa mkewe ili mwanaume yeyote atakayetaka kufanya naye mapenzi nyeti zake
zipotee kabla hajamwingilia mwanamke, au mwingine anaweza...
Yawezekana ni kweli kwa uhalisia lakini hii nimesikia kwenye kipindi cha ndoa nkaona nikuunganishe na wewe tupeane ukweli je ni kweli wanawake wengi wanatyukamata wanaume sababu wanaamini wanaume...
Umezaliwa mtoto wakike Baba yako kakuona unafanana na mamayake anaamua kukupa jina la Mamake!!umekuwa umepata mchumba mnataka kuoana madhebu yenu yanatofatuana!Mchumba anakwambia badili dini uwe...
Wakuu natafuta nyumba ndogo, yenye mvuto
Sifa:
1. Iwe tayari kutunza siri SANA SANA
2. Iwe tayari kuhamwa ikipata mpangaji wa kudumu, mimi nitakuwa tayari kuhama kwa hiari
3. Iwe na mapenzi...
HABARI ZA JIONI NDUGU ZANGU?
Wale walioguswa na mgomo wa madaktari poleni sana.
jamani hivi mnapokuwa chumbani na mke/mume wako na mnataka mfanya mambo yetu ni nani huwa anaanza...
Rafiki yangu ambaye anatarajia kufunga ndoa mwanzoni mwa mwezi wa Tano, baada ya kumtaka mapenzi mpenzi wake kabla ya kufunga ndoa, mpenzi huyo amemkatalia katakata kwa kile alichodai kuwa anaweza...
Kutwa kucha kusengenyana na kusemana vibaya.
Kuoneana wivu na kijicho.
Kusingiziana mambo mabaya na yasiyo ya kweli.
Kuombeana mabaya.
Kuchukuliana waume/mabwana/wapenzi.
Huku mnajifanya marafiki...
Unamdanganya msichana wa watu,huna girlfriend,kumbe unae,unamdanganya mvulana wa watu,upo pekeyako,kumbe wapo wengi.Ipo siku woteee watakukimbia,utawatafuta utakuta wameshaoa au kuolewa..Usijesema...
Kumekuwepo na wimbi kubwa la wanawake wenye ndoto ya kuwa na makalio(makadi) makubwa kwa njiayeyote ile ,alimradi makalio yake yatutumke inapofika kwa wanaume makalio (makadi) yamekuwa ni moja...
M2 yeyote ndani ya jf ambaye yuko tayari 2we marafiki kwa ajili ya kubadilishana mawazo,kupeana changamoto kimaisha pamoja na kutchat,na si vinginevyo ajitokeze.
Wakuu,nikiwa natimiza miaka kadhaa siku ya leo,nina furaha kubwa maishani mwangu.Pamoja na malezi ya watu wangu wa karibu,Watu wote wa Jf,wake kwa waume mmeyabadilisha maisha yangu.Ni mizigo mingi...
Mwanamke kamili ni mwanamke ambae anajiweza kihisia na kifikra, mwanamke ambae sio tegemezi wala maisha yake hayatawaliwi na kuzira.
. . Badala ya kuzira unajieleza.
Mwanamke ambae anaifahamu...
Being in relationship ain't something simple and sometimes ain't difficult as well.
We always face some difficulties that creates questions, lots of questions,
here are some Questions that I've...