chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Unamdanganya msichana wa watu,huna girlfriend,kumbe unae,unamdanganya mvulana wa watu,upo pekeyako,kumbe wapo wengi.Ipo siku woteee watakukimbia,utawatafuta utakuta wameshaoa au kuolewa..Usijesema unagundu..Tulia msichana,wanaume watakufata wenyewe mpaka utaamua kuwa pekeyako na kufanya uchaguz sahihi ya kuolewa na nani,tulia mvulana,wadada watakuja wenyewe.Acha historia safi katika ujana wako.