C coolbabyboi Member Jan 19, 2012 10 1 Jan 31, 2012 #1 hivi jaman kwel ukimwi utaisha?mbna dawa za ukimwi wanasema zimegundulika mbna sion wagonjwa wakipona asa
hivi jaman kwel ukimwi utaisha?mbna dawa za ukimwi wanasema zimegundulika mbna sion wagonjwa wakipona asa
gozo JF-Expert Member Sep 15, 2011 458 85 Jan 31, 2012 #2 muulize babu wa loliondo namba yake hii +255713 800800
doctorz JF-Expert Member Aug 10, 2010 916 228 Jan 31, 2012 #3 Siku zinaa itakapo isha basi ndiyo mwanzo wa kuisha UKIMWI.