KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Umezaliwa mtoto wakike Baba yako kakuona unafanana na mamayake anaamua kukupa jina la Mamake!!umekuwa umepata mchumba mnataka kuoana madhebu yenu yanatofatuana!Mchumba anakwambia badili dini uwe mkristo unabadili dini na yeye anakuchagulia jina!unasahau kuwa jina lile lilikuwa niukumbusho wa bibiyako!Hapo wanaume tuna nguvu za ajabu nanyie wanawake mjijue ni wadhaifu kelele nyingi kwenye majukwaa ila nguvu za asili tulizonazo hamuwezi kuzibadili.