Jamani my love aliondoka bila kuniaga akarudi na kunieleza sababu za kuto aga na kuapolojaiz na kunieleza taka nyingi but nikamuelewa, mapenzi yakawa moto mara 3 nikasafiri na yeye akasafiri tuliporudi akaniambia niachane nae... Japo kanipunguzia mzigo because alikuwa dependant lakini sijamuelewa hata! Au ana mapepo? Nisaidien because alivyorudi alikuwa analia...