Z Zoooom New Member Feb 11, 2012 4 0 Feb 11, 2012 #1 Nilikuwa nasikia kuwa mapenz yanaumiza!! Sasa nimeona na nimeumia, cha kufanya ni nini? Nisipende tena au nitafute mwingine?
Nilikuwa nasikia kuwa mapenz yanaumiza!! Sasa nimeona na nimeumia, cha kufanya ni nini? Nisipende tena au nitafute mwingine?
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,163 Feb 11, 2012 #3 tulia ivo ivo sikilizia machungu hadi yaishe ukikurupuka tu, inakula pande yako.
gango2 JF-Expert Member Aug 31, 2011 1,941 2,251 Feb 11, 2012 #4 fanya kazi kijana acha kuwaza mapenzi mapenzi hayana jipya.. cha msingi maendeleo yako