Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

kinachoumiza zaidi ni kuwa wale wanaokupenda like familly and friends ndo wanaumia zaidi hata ukiwa umeshakufa.... mapenzi gani haya ya kuumiza watu weengi wengine..... - by Boss JF Member...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Heshima mbele wakuu,ebana me nimepata gelofriend mpya,na kikweli nimepima oil,nimegundua ni kweli mambo yako safi kabisa,kaniambia me ndo mvulana wa kwanza katka maisha yake,so wakuu,naomben...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Waungwana habari za jioni! Leo nikiwa napumzika baada ya mihangaiko ya kutwa nzima nilipata wasaa wa kukaa na kupumzisha koo kwa kupata moja moto moja baridi! Tukiwa tunabadilishana mawazo na...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kwakua sijafanikiwa kuwa na dume la rangi nyeupe mie wangu ni mweusi nasikia weusi wanajoto na weupe wamepooza katika majambozzzzzzz. nikweli?.
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Halow jamii forums members, Nina mchumba wangu ambaye kiukweli namfeel sana,ila tumekuwa tukipishana sana kwenye suala zima la starehe particularly clubing...anapenda sana kwenda club every...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
.... yani mtoto wa dada yangu ye ananiita mimi "mjomba" na mi namwita yeye "mpwa wangu", sasa ngoma inayokuja kuntatiza ni pale mtoto wangu anapomwita dada yangu "shangazi", kwa hiyo dadangu nae...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
mimi nilimaliza chuo mlimani telecommunications engineering 2008 wakati namaliza yupo binti ambae nilkuwa ndo naanza uhusiano nae siku ya kwanza tunafanya majambozi aliniambia yuko kwenye gud...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
What do you do when love hurts so badly? you have been waiting for years, been faithful, caring, supportive and most of all loving,.but only to find out that you have wasted so many years...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Tatizo la kina mama kutoelewana na mama wakwe zao ni tatizo sugu sana duniani. Hata siku moja hawawezi kuishi vizuri pamoja chini ya dari moja. Je kuna mtu ameshuhudia hawa watu wawili wakiishi...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Ilikuwa ni mwanzoni mwa miaka ya 2000, kipindi hicho nilikuwa napiga maji kwa kwenda mbele kabla Yesu hajanitokea na kunionya kwamba nisipoacha hiyo dhambi atanitandika bakora hadharani. Mkwala...
28 Reactions
107 Replies
9K Views
Inaelezwa kwamba kuna uhusiano kati ya wanawake waliofanikiwa kwenye ajira kwa kuwa na kipato kikubwa zaidi ya waume zao na talaka. Labda nisema tu kwamba, binafsi sikubaliani na jambo hilo...
6 Reactions
14 Replies
3K Views
Imebainika kiutafiti kwamba wanawake wanne kati ya kumi huwa wanatoka nje kwenye ndoa zao. Idadi hiyo hata hivyo inaongezeka haraka sana, na inawezekana idadi hiyo ikafikia wanawake watano kati ya...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Jamani hiki ni kisa cha kweli kimetokea masaa 48 yalopita. Ishu yenyewe iko hivi:- Nilikuwa naishi kwenye nyumba pamoja na mpangaji mwenzangu huko mkoani manyara wilaya ya kiteto. Kwa bahati...
0 Reactions
52 Replies
5K Views
Naomba kuelekezwa hatua za namna ya kum PM mtu.:yawn:
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nipo kikazi katika mkoa mmojawapo kaskazini ya Tanzania, kwakuwa nyumba niliyopewa kuishi ni kubwa, imenibidi nitafute msaidizi wa kazi za nyumbani. Nimepata msichana ana wiki ya 2 sasa tangu...
2 Reactions
115 Replies
10K Views
Ilianza kama utani. Mashosti wawili waliokuwa marafiki wa karibu tena walioshibana na kushibana. Walikuwa na urafiki wa kushinda pamoja, kwenda kununua nguo pamoja, na kwa kweli ulikuwa ni kama...
7 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi ninajiuliza sana, kwanini kuna watu wakiwa wanaanza mahusiano wanakuwa na jitihada na juhudi nyingi kunogesha mapenzi mfano kukupigia simu, kukupa kadi na zawadi na kuonyesha upendo alafu...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Happy Valentine y'all. . . Mine was quite memorable. . .I hope yours went well!! Nwy wakati mwingine waweza kuta watu wawili wanapendana haswa, achana na kutamaniana. Mapenzi ambayo kama...
9 Reactions
58 Replies
3K Views
Marriage was not created to make us happy.Our happiness comes because we know make we making the right choices,even if they hurt us sometimes!
2 Reactions
12 Replies
1K Views
ni ukweli na wala sitanii waungwana,.. nilihisi, na nimeambia wazi, na hatimaye kuthibitisha kuwa manzi (mtoto wa UDSM) wangu anachukuliwa na hawa vijana wanaojishughulisha na kuchezea kucha na...
0 Reactions
66 Replies
13K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…