Nipo kikazi katika mkoa mmojawapo kaskazini ya Tanzania, kwakuwa nyumba niliyopewa kuishi ni kubwa, imenibidi nitafute msaidizi wa kazi za nyumbani.
Nimepata msichana ana wiki ya 2 sasa tangu...
Ilianza kama utani. Mashosti wawili waliokuwa marafiki wa karibu tena walioshibana na kushibana. Walikuwa na urafiki wa kushinda pamoja, kwenda kununua nguo pamoja, na kwa kweli ulikuwa ni kama...
Mimi ninajiuliza sana, kwanini kuna watu wakiwa wanaanza mahusiano wanakuwa na jitihada na juhudi nyingi kunogesha mapenzi mfano kukupigia simu, kukupa kadi na zawadi na kuonyesha upendo alafu...
Happy Valentine y'all. . .
Mine was quite memorable. . .I hope yours went well!!
Nwy wakati mwingine waweza kuta watu wawili wanapendana haswa, achana na kutamaniana. Mapenzi ambayo kama...
ni ukweli na wala sitanii waungwana,..
nilihisi, na nimeambia wazi, na hatimaye kuthibitisha
kuwa manzi (mtoto wa UDSM) wangu anachukuliwa na hawa vijana wanaojishughulisha na kuchezea kucha
na...
Najua ni maneno tu, hata kwenye khanga yapo ila yana maana.
Kilokushinda kukila, Bora sikitie hila, Kama ulisusa basi mwenzio atakula.........
Alikuwa wako ukashindwa kumtunza, amempata mwenzako...
Tunasikia na tunaambiwa kwamba katika mahusiano ya mapenzi yahitajika wawili wapendanao wavumiliane na wachukuliane (kuukubali udhaifu wa mwenzako na kuuishi).
Je ni kwa kiwango kipi...
Nina miaka 23
nipo mwaka wa mwisho KCMC,
natafuta mwanamke kuanzia miaka 35 mpaka 45,awe na kazi pia kama ana watoto wawe ni wakike tu pia wawe na miaka kuanzia 18 kwenda mbele!
SERIOUS......
Natafuta msichana wa Kitanzania mwenye umri wa kati ya miaka 23-29..mkristo...msomi...mzuri wa sura,umbo na tabia na awe tayari kupima VVU. Mwenye sifa hizo please ajitokeze
Mwanangu kakataa kwenda shule jana nikamuuliza tatizo ni nini...
Mwanangu :Baba leo ni Sikukuuu
Mimi: Sikukuuu, Sikukuuu gani
Mwanangu: Si ile ya wanapendanao...
Mimi: Kwahiyo ndiyo huendi...
Wakuu nimekutana na binti kutoka huko pande za obama anavolunter hapa Tz,tukawa marafiki kwelikweli na tumefanya mambo mengi sana , ila nimekuwa nikimwomba "mzigo"amekataa kabisa ananiambia...
"Najua sisi ni marafiki kwa muda mrefu sasa, unaweza ukafahamu kwa ufupi historia yangu ktk suala zima la uhusiano/mapenzi . Samahani kama nitakuwa nimekukwaza, NAOMBA NITAFUTIE MCHUMBA WA KUNIOA...
last night I had a sex with mzee moja we just met natulipo kwenda hotel kufanya kitu chawakubwa kinga ikapasuka na sitaki mtoto for now sababu bado natafuta hela jee niledawa ya kuzuia mimba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.