Ebhanaeee!!duu....nitamuuliza mama renata (my wife) kama hii kitu inaukweli ndani yake.:eyebrows:Kwakua sijafanikiwa kuwa na dume la rangi nyeupe mie wangu ni mweusi
nasikia weusi wanajoto na weupe wamepooza katika majambozzzzzzz. nikweli?.
Muulize mange
maana sisi hatujabahatika kuvuka bara la afrika.sisi tupo na mablack tu.mwenzetu keshavuka baharikweli kabisa... Yule atampa ufafanuzi wa kina from experience...
Hiyo ni nadharia tu haina ukweli wowote,mapenzi yanabaki kuwa ni hisia tu hivyo ukipenda unakuwa umependa bila kujali kama yu moto au baridi.Kwakua sijafanikiwa kuwa na dume la rangi nyeupe mie wangu ni mweusi
nasikia weusi wanajoto na weupe wamepooza katika majambozzzzzzz. nikweli?.
Muulize mange
Kwa hiyo ukishajua unatakaje?Kwakua sijafanikiwa kuwa na dume la rangi nyeupe mie wangu ni mweusi
nasikia weusi wanajoto na weupe wamepooza katika majambozzzzzzz. nikweli?.
hajui hata anachoongea huyuwe unae mweusi,
halafu unauliza tena ati unasikia weusi wanajoto,
huyo wako inamana hujampima?????
au unataka kujua kati ya mweusi na mweupe yupi anahusika ndo ujichagulie?????
Joseph waache wahusika watupe jibu, au na wewe...?Hiyo ni nadharia tu haina ukweli wowote,mapenzi yanabaki kuwa ni hisia tu hivyo ukipenda unakuwa umependa bila kujali kama yu moto au baridi.