Naombeni ushauri wadau

mchambuzixx

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
1,292
943
mimi nilimaliza chuo mlimani telecommunications engineering 2008 wakati namaliza yupo binti ambae nilkuwa ndo naanza uhusiano nae siku ya kwanza tunafanya majambozi aliniambia yuko kwenye gud days na mm kama kawa nikaingia mweupee kipindi hicho nilikuwa bado kazi ndo tulikuwa katika pilika pilaka za kutafuta kazi.

wiki tatu baada ya kusex akaniambia ana mimba kitu ambacho kwanza sikukitarajia kwa jinsi alivyoniambia yupo kwenye gud days halafu kipindi hicho nilikuwa nimesafiri ila ndo nilikuwa nimerudi akaniambia hayo mambo kwakweli sikukubaliana kabisa na hicho kitu kutokana na situation yenyewe baada ya kubishana nae sana akawaambia ndugu zake mtiti ukawa mkubwa sana tuligombana sana na ndugu zake na kwa vile hawakumjua hata ndugu yangu mmoja msala wote ulikuwa unaishia kwangu na marafiki zangu waliokuwa wanawafaham ingawa mm mwenyewe hawanijui kwa sura till today zaidi ya kuongea kwenye simu.

ila baada ya mtoto kuzaliwa na kila kitu kuonekana kwamba mtoto ni wangu nilianza kutafutwa tena na mama wa mtoto tukakutana na nilikuwa nahudumia kila kitu bila ndugu zake kujua mtoto sasa ana miaka 2 na nusu na kila mwezi namtumia hela ya matumizi na nilishampeleka kwetu na wazazi wangu wakamuona mtoto na ofisini nishamuandikisha na kwa kweli nimefanana nae kinoma huyo baby girl

ila kumbe wakati wa mimba kwa vile wazazi wake walikuwa hawanijui yupo aliekuwa anahudumia inawezekana alishaenda kuomba msamaha wakizani ni mm nahisi nae alibambikiwa kipindi kile, mimi nilvyogundua hilo nikamuomba mama mtoto amlete siku moja nishinde nae..nikamchukua mtoto moja kwa moja muhimbili kuchek DNA na nikawa sahihi ila mamke aliniuliza nina mpango gani na yy nilivyomjibu kua nipo na mtu ninampenda na anajua kuwa nina mtoto akanijib wewe una uhakika gani kama huyu mtoto ni wako na naomba leo iwe mwanzo na mwisho kumuona huyu mtoto kwanza sio wako


ushauri:
sasa hapo ushauri wenu ni muhimu namtaka mtoto wazazi wake hawanijui hata kwa sura,mama watoto anajua mtoto ni wangu ila kwa vile nimemwambia nna mtu na yy shida yake kuolewa ingawa ana mtu na anajulikana kama baba wa mtoto kwao ingawa anasema ilikuwa hasira kutembea nae kwa kuwa tuligomba .. na mm nna mtu nampenda kupita maelezo ushauri wadau nifanyeje hapo au kama ndo ingekuwa ww
 
na hapo ndo mmemaliza chuo kikuu
sipati picha mngekuwa darasa la saba hii sinema ingekuwaje....
 
Kwa vile huna future na dada wa watu tulia kwanza ,huyo jamaa analliefungiwa mbuzi kwenye gunia amalizane nao
maana hapo umemuacha kwanza then umsababishie aachwe tena jamani?
Tulia pembeni kwanza mtoto ni wako hawatamuua
wakimalizana na wewe unaanzisha
 
mhm...pagumu hapa.....sasa mwana mie naona hapa mwana wewe kajitambulishe sasa kwa wazazi wake kuwa wewe ndio baba mtoto na muwa umekuwa ukihudumia. sasa that way utakuwa na uwezo wakumuona wen u want
 
Kwa vile huna future na dada wa watu tulia kwanza ,huyo jamaa analliefungiwa mbuzi kwenye gunia amalizane nao
maana hapo umemuacha kwanza then umsababishie aachwe tena jamani?
Tulia pembeni kwanza mtoto ni wako hawatamuua
wakimalizana na wewe unaanzisha

kama hamtaki mama basi na mtoto aachie ngazi....................siyo vyema mtoto kulelewa na mama wa kambo...................kama inakwepeka
 
kama hamtaki mama basi na mtoto aachie ngazi....................siyo vyema mtoto kulelewa na mama wa kambo...................kama inakwepeka
nashangaa mtoto yupo safe na mama yake
anagombania nini hapo/ amwache dada wa watu aolewe bwana maana hamtaki hata apige kimya kwanza
 
mimi nilimaliza chuo mlimani telecommunications engineering 2008 wakati namaliza yupo binti ambae nilkuwa ndo naanza uhusiano nae siku ya kwanza tunafanya majambozi aliniambia yuko kwenye gud days na mm kama kawa nikaingia mweupee kipindi hicho nilikuwa bado kazi ndo tulikuwa katika pilika pilaka za kutafuta kazi.

wiki tatu baada ya kusex akaniambia ana mimba kitu ambacho kwanza sikukitarajia kwa jinsi alivyoniambia yupo kwenye gud days halafu kipindi hicho nilikuwa nimesafiri ila ndo nilikuwa nimerudi akaniambia hayo mambo kwakweli sikukubaliana kabisa na hicho kitu kutokana na situation yenyewe baada ya kubishana nae sana akawaambia ndugu zake mtiti ukawa mkubwa sana tuligombana sana na ndugu zake na kwa vile hawakumjua hata ndugu yangu mmoja msala wote ulikuwa unaishia kwangu na marafiki zangu waliokuwa wanawafaham ingawa mm mwenyewe hawanijui kwa sura till today zaidi ya kuongea kwenye simu.

ila baada ya mtoto kuzaliwa na kila kitu kuonekana kwamba mtoto ni wangu nilianza kutafutwa tena na mama wa mtoto tukakutana na nilikuwa nahudumia kila kitu bila ndugu zake kujua mtoto sasa ana miaka 2 na nusu na kila mwezi namtumia hela ya matumizi na nilishampeleka kwetu na wazazi wangu wakamuona mtoto na ofisini nishamuandikisha na kwa kweli nimefanana nae kinoma huyo baby girl

ila kumbe wakati wa mimba kwa vile wazazi wake walikuwa hawanijui yupo aliekuwa anahudumia inawezekana alishaenda kuomba msamaha wakizani ni mm nahisi nae alibambikiwa kipindi kile, mimi nilvyogundua hilo nikamuomba mama mtoto amlete siku moja nishinde nae..nikamchukua mtoto moja kwa moja muhimbili kuchek DNA na nikawa sahihi ila mamke aliniuliza nina mpango gani na yy nilivyomjibu kua nipo na mtu ninampenda na anajua kuwa nina mtoto akanijib wewe una uhakika gani kama huyu mtoto ni wako na naomba leo iwe mwanzo na mwisho kumuona huyu mtoto kwanza sio wako


ushauri:
sasa hapo ushauri wenu ni muhimu namtaka mtoto wazazi wake hawanijui hata kwa sura,mama watoto anajua mtoto ni wangu ila kwa vile nimemwambia nna mtu na yy shida yake kuolewa ingawa ana mtu na anajulikana kama baba wa mtoto kwao ingawa anasema ilikuwa hasira kutembea nae kwa kuwa tuligomba .. na mm nna mtu nampenda kupita maelezo ushauri wadau nifanyeje hapo au kama ndo ingekuwa ww


Mkuu acha kuwa selfish. Vizuri vyote upate wewe? Mtoto kulelewa na mama wa kambo ni risk sana, afadhali baba wa kambo.
Mwache mama aolewe, usimfanye aonekane mwongo.

The time will tell.
 
Kua mwanamme mwenye maamuzi sahihi,kama unasema unampenzi mwengine unampenda kuliko maelezo je ulimwambia kama unamtoto? pata mda uonge na mzazi mwenzio ili kwao wajue kama mtoto ni wako na uko tayari kumuudumia kwa hali na mali,
na wakupe mda wakwenda kumuona mtoto wako...
 
Muonyeshe results za DNA,afu aendelee kubisha.Akome kujilengesha kisa ndoa
 
nashangaa mtoto yupo safe na mama yake
anagombania nini hapo/ amwache dada wa watu aolewe bwana maana hamtaki hata apige kimya kwanza

tamaa ya mzee fisi itamponza.....................mwishowe njemba imwangushie kipigo cha kuingilia unyumba wake............lol
 
kwahio wadau ushauri wenu nitulie tuu iwe siri kati yangu na mamake hamuoni kwamba mtoto anakosa haki ya kumjua babaake coz atakaemfahamu kama babaake ni yule atakaeishi na mamake na jee hio itaendelea kwa mda gani hamuoni kadri mda utakavyokuwa unakwenda ndo tatizo litakuwa linazidi kukua?
 
Mkuu pole sana. Mimi naomba msaada wa utaratibu wa kupima DNA pale muhimbili. Ni utaratibu gani unautumia ama kimjini mjini na gharama ni kiasi gani?

mimi nilimaliza chuo mlimani telecommunications engineering 2008 wakati namaliza yupo binti ambae nilkuwa ndo naanza uhusiano nae siku ya kwanza tunafanya majambozi aliniambia yuko kwenye gud days na mm kama kawa nikaingia mweupee kipindi hicho nilikuwa bado kazi ndo tulikuwa katika pilika pilaka za kutafuta kazi.

wiki tatu baada ya kusex akaniambia ana mimba kitu ambacho kwanza sikukitarajia kwa jinsi alivyoniambia yupo kwenye gud days halafu kipindi hicho nilikuwa nimesafiri ila ndo nilikuwa nimerudi akaniambia hayo mambo kwakweli sikukubaliana kabisa na hicho kitu kutokana na situation yenyewe baada ya kubishana nae sana akawaambia ndugu zake mtiti ukawa mkubwa sana tuligombana sana na ndugu zake na kwa vile hawakumjua hata ndugu yangu mmoja msala wote ulikuwa unaishia kwangu na marafiki zangu waliokuwa wanawafaham ingawa mm mwenyewe hawanijui kwa sura till today zaidi ya kuongea kwenye simu.

ila baada ya mtoto kuzaliwa na kila kitu kuonekana kwamba mtoto ni wangu nilianza kutafutwa tena na mama wa mtoto tukakutana na nilikuwa nahudumia kila kitu bila ndugu zake kujua mtoto sasa ana miaka 2 na nusu na kila mwezi namtumia hela ya matumizi na nilishampeleka kwetu na wazazi wangu wakamuona mtoto na ofisini nishamuandikisha na kwa kweli nimefanana nae kinoma huyo baby girl

ila kumbe wakati wa mimba kwa vile wazazi wake walikuwa hawanijui yupo aliekuwa anahudumia inawezekana alishaenda kuomba msamaha wakizani ni mm nahisi nae alibambikiwa kipindi kile, mimi nilvyogundua hilo nikamuomba mama mtoto amlete siku moja nishinde nae..nikamchukua mtoto moja kwa moja muhimbili kuchek DNA na nikawa sahihi ila mamke aliniuliza nina mpango gani na yy nilivyomjibu kua nipo na mtu ninampenda na anajua kuwa nina mtoto akanijib wewe una uhakika gani kama huyu mtoto ni wako na naomba leo iwe mwanzo na mwisho kumuona huyu mtoto kwanza sio wako


ushauri:
sasa hapo ushauri wenu ni muhimu namtaka mtoto wazazi wake hawanijui hata kwa sura,mama watoto anajua mtoto ni wangu ila kwa vile nimemwambia nna mtu na yy shida yake kuolewa ingawa ana mtu na anajulikana kama baba wa mtoto kwao ingawa anasema ilikuwa hasira kutembea nae kwa kuwa tuligomba .. na mm nna mtu nampenda kupita maelezo ushauri wadau nifanyeje hapo au kama ndo ingekuwa ww
 
Hivi kweli unaweza kwenda tu Muhimbili na kupima DNA? Sidhani, labda kama umefanya kijanjajanja.
 
usimwaribie mwenzio maisha. We si ulishamkataa tangu mwanzo. Kama mtt ni wako atakutafuta tu.
 
Back
Top Bottom