mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 943
mimi nilimaliza chuo mlimani telecommunications engineering 2008 wakati namaliza yupo binti ambae nilkuwa ndo naanza uhusiano nae siku ya kwanza tunafanya majambozi aliniambia yuko kwenye gud days na mm kama kawa nikaingia mweupee kipindi hicho nilikuwa bado kazi ndo tulikuwa katika pilika pilaka za kutafuta kazi.
wiki tatu baada ya kusex akaniambia ana mimba kitu ambacho kwanza sikukitarajia kwa jinsi alivyoniambia yupo kwenye gud days halafu kipindi hicho nilikuwa nimesafiri ila ndo nilikuwa nimerudi akaniambia hayo mambo kwakweli sikukubaliana kabisa na hicho kitu kutokana na situation yenyewe baada ya kubishana nae sana akawaambia ndugu zake mtiti ukawa mkubwa sana tuligombana sana na ndugu zake na kwa vile hawakumjua hata ndugu yangu mmoja msala wote ulikuwa unaishia kwangu na marafiki zangu waliokuwa wanawafaham ingawa mm mwenyewe hawanijui kwa sura till today zaidi ya kuongea kwenye simu.
ila baada ya mtoto kuzaliwa na kila kitu kuonekana kwamba mtoto ni wangu nilianza kutafutwa tena na mama wa mtoto tukakutana na nilikuwa nahudumia kila kitu bila ndugu zake kujua mtoto sasa ana miaka 2 na nusu na kila mwezi namtumia hela ya matumizi na nilishampeleka kwetu na wazazi wangu wakamuona mtoto na ofisini nishamuandikisha na kwa kweli nimefanana nae kinoma huyo baby girl
ila kumbe wakati wa mimba kwa vile wazazi wake walikuwa hawanijui yupo aliekuwa anahudumia inawezekana alishaenda kuomba msamaha wakizani ni mm nahisi nae alibambikiwa kipindi kile, mimi nilvyogundua hilo nikamuomba mama mtoto amlete siku moja nishinde nae..nikamchukua mtoto moja kwa moja muhimbili kuchek DNA na nikawa sahihi ila mamke aliniuliza nina mpango gani na yy nilivyomjibu kua nipo na mtu ninampenda na anajua kuwa nina mtoto akanijib wewe una uhakika gani kama huyu mtoto ni wako na naomba leo iwe mwanzo na mwisho kumuona huyu mtoto kwanza sio wako
ushauri:
sasa hapo ushauri wenu ni muhimu namtaka mtoto wazazi wake hawanijui hata kwa sura,mama watoto anajua mtoto ni wangu ila kwa vile nimemwambia nna mtu na yy shida yake kuolewa ingawa ana mtu na anajulikana kama baba wa mtoto kwao ingawa anasema ilikuwa hasira kutembea nae kwa kuwa tuligomba .. na mm nna mtu nampenda kupita maelezo ushauri wadau nifanyeje hapo au kama ndo ingekuwa ww
wiki tatu baada ya kusex akaniambia ana mimba kitu ambacho kwanza sikukitarajia kwa jinsi alivyoniambia yupo kwenye gud days halafu kipindi hicho nilikuwa nimesafiri ila ndo nilikuwa nimerudi akaniambia hayo mambo kwakweli sikukubaliana kabisa na hicho kitu kutokana na situation yenyewe baada ya kubishana nae sana akawaambia ndugu zake mtiti ukawa mkubwa sana tuligombana sana na ndugu zake na kwa vile hawakumjua hata ndugu yangu mmoja msala wote ulikuwa unaishia kwangu na marafiki zangu waliokuwa wanawafaham ingawa mm mwenyewe hawanijui kwa sura till today zaidi ya kuongea kwenye simu.
ila baada ya mtoto kuzaliwa na kila kitu kuonekana kwamba mtoto ni wangu nilianza kutafutwa tena na mama wa mtoto tukakutana na nilikuwa nahudumia kila kitu bila ndugu zake kujua mtoto sasa ana miaka 2 na nusu na kila mwezi namtumia hela ya matumizi na nilishampeleka kwetu na wazazi wangu wakamuona mtoto na ofisini nishamuandikisha na kwa kweli nimefanana nae kinoma huyo baby girl
ila kumbe wakati wa mimba kwa vile wazazi wake walikuwa hawanijui yupo aliekuwa anahudumia inawezekana alishaenda kuomba msamaha wakizani ni mm nahisi nae alibambikiwa kipindi kile, mimi nilvyogundua hilo nikamuomba mama mtoto amlete siku moja nishinde nae..nikamchukua mtoto moja kwa moja muhimbili kuchek DNA na nikawa sahihi ila mamke aliniuliza nina mpango gani na yy nilivyomjibu kua nipo na mtu ninampenda na anajua kuwa nina mtoto akanijib wewe una uhakika gani kama huyu mtoto ni wako na naomba leo iwe mwanzo na mwisho kumuona huyu mtoto kwanza sio wako
ushauri:
sasa hapo ushauri wenu ni muhimu namtaka mtoto wazazi wake hawanijui hata kwa sura,mama watoto anajua mtoto ni wangu ila kwa vile nimemwambia nna mtu na yy shida yake kuolewa ingawa ana mtu na anajulikana kama baba wa mtoto kwao ingawa anasema ilikuwa hasira kutembea nae kwa kuwa tuligomba .. na mm nna mtu nampenda kupita maelezo ushauri wadau nifanyeje hapo au kama ndo ingekuwa ww