Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Hali zenu wanajamvi, huwa ninajiuliza kila siku. Kipi bora kati ya haya. Kuoa/kuolewa na mtu ambaye ana experience katika mapenzi au asiye na experience. Nikimaanisha kwamba mtu ambaye alishawahi kuwa na mahusiano zaidi ya watu wawili ama watatu. Maana unaweza kuta mtu alishawahi kuwa na mahusiano na mtu mmoja u so anajua vitu vichache katika malavidavi. Ila aliyepita pita japo kwa 3 or more people anayaweza sana make kakutana na vitu vipya na tofauti..... Hii mnaionaje wanajamvi????????