Naomba kufahamishwa, kuwaninii ?waume wengine
waoapo wake wanawaacha kwa wakwe au kwa wazazi wake mke?
hv kwanini walikuwa hawalali pamoja? malovee walikuwa wanafanya mida gani?mambo ya kizamani hayo! enzi zile hata baba na mama walikuwa hawalali chumba kimoja.
hv kwanini walikuwa hawalali pamoja? malovee walikuwa wanafanya mida gani?
so kwa mwaka mara moja au?Wakitaka kutafuta mtoto. Nyie wa siku hizi ndo mnalikosea heshima tendo la ndoa...
Naomba kufahamishwa, kuwaninii ?waume wengine
waoapo wake wanawaacha kwa wakwe au kwa wazazi wake mke?
so kwa mwaka mara moja au?
Kutojiandaa ipasavyo huchangia jambo hili. Kabla ya ndoa, ni vizuri mambo yote yakawa wazi/tayari, ujue mtaishi vipi, wapi, mna nini, nini kifanyike n.k. Wasichana wanapaswa kuhoji na sio kukimbilia ndoa.
Zaidi ya 50% ya ndoa zinahamasishwa na mimba zisizopangwa...
so kwa mwaka mara moja au?
khaa! hii kali sasaNaomba kufahamishwa, kuwaninii ?waume wengine
waoapo wake wanawaacha kwa wakwe au kwa wazazi wake mke?