mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Ni kijana mstaarabu,kakutana na binti mrembo wa haja,kwa vipimo vyake,anamuona kuwa aweza kuwa mke mtarajiwa.Kijana anamdokezea ombi lake,binti anasema hana pingamizi ila,anaye rafiki ila ni mkorofi na hana feelings nae,anaahidi kumpenda kijana huyu baada ya kumalizana na rafiki yake mkorofi.Ni sahihi kuwekwa pending usubiri watu wamalizane wewe ndo uingie?Eti wadau.