No man can satisfy a woman simply by WHAT HE DOES FOR HER. He fulfills her by allowing, motivating, and supporting her to be everything that SHE has a capacity and potential to be. In other words...
Am mohamed 24 nipo dar natafuta mchumba umri kuanzia 25-35 dini yoyote sichagui kabila elm yoyote ila awe mwenye kujishughulisha,me ni muajiriwa kwnye clinc moja hapa jijini plz km upo cirius...
Ndugu wanafamilia wa jf kwa wale wataalam wa masuhala kama haya ya kutoa mbinu na namna ya kuweza kutoka na rafiki wa kike wa mpnzi wako naomba 2saidiane jamani tafaaadhari.:lol:
Yani,imagine mtu kanipigia simu,me nilikua busy kwa mda huo,nkapokea nkamwambia niko busy kdogo na ka vp ntamcheki baadae!!sa hzi nampgia eti kanuna,kisa cha kununa ni mim kuchelewa kumtafuta.sa...
Wenye mvi tukubali ujana una mwisho na hivyo tuache kuhadaa vijana kuwa bado tumo wakati ni saa za majogoo......tuache kutia kanta vichwani ili tuonekane hatujazeeka kumbe masaa...
Wana wa Jamii,
Muda si mrefu Cousin wangu (he) kanifikia akiwa macho pima.
Kisa ni , palikua na kipindi kwenye Tv kinachotaka viewers wake waandike sms kutaja wanamzimikia msanii gani...
Hallow akina dadas and kakas, naamini mpenzi/mke/mme ulienae kuna vitu anuai vilikuvutia sana.
Mie binafsi nina mke na mtoto na nawapenda sana. Mke wangu nilivutiwa na mwanya wake maana ndo...
Tulifahamiana miaka miwili iliyopita, wote tulikua divorced, kila mmoja ana watoto tayari, watoto wangu niliwaacha kwetu wa kwake tunaishi nao!
Wote ni wafanya biashara, tukaamua kuunganisha...
Wadau mi nna binti ambaye nimekuwa nae kwenye uhusiano kwa muda mrefu na mi ndo niliyemuintroduce kwenye anga la maraha"yaan kumtoa bikra"..hv itakuwa poa kama ndn atakuwa mama watoto wangu au ndo...
Leo nilikuwa nasikiliza kipindi cha leo tena cloudz, hoja ilikuwa kwa nn wazazi wanapenda kuita watoto zao mbwa! Mbaya zaidi kibongo bongo kila mtu labda ameshawahi kuitwa mbwa na mzazi. Je ni...
Unaweza kukuta mdada anakwambia bwana yangu anamiliki vx v8 wakat gar yenyewe ina no za stk kisa jamaa kamwambia ni gar lake na anamfataga nalo jion kitaa au ni uvivu wakusoma namba
Wadau kwa kuzingatia nature ya jina langu, mambo yangu etc je mwazani ni binti gani humu wa MMU twaweza make couple? I mean kijina jina tu (by combining names). Mfano RICHARD + TATIANA = RICHANA...
Si lengo langu kuendelea kuwakwaza wale waliokwazika kwa uzi wa kwanza, bali ni kutoa mawazo yangu juu ya mtizamo wa mada tajwa.
Wanawake wamekuwa na historia ndefu ktk maisha ya mwandamu. Toka...
kwenye hii ofc mm ndio mdogo...
kuna maza cku hizi cmuelewi...
kila tukishikana mkono...
anaukwaruza kwaruza na kucha...
huku akicheka
damu yangu inakimbia chaaaaarrrr!!
ana maana gani??
na...
Nimechunguza, nimetafiti na nimegundua na kuvumbua kuwa wanaume wengi hawapendi kuvaa pete zao za ndoa kwa visingizio mbalimbali, na kuna kundi lingine ndio huwa linatoka nyumbani wakiwa na pete...
Nimejaribu kuchunguza mara nyingi nimekuja kugundua kunatatizo katika kizazi hiki cha leo,
Moja ya tatizo lililopo nikutokomaa kwa ndoa za sasa kutokana na wengi wao ndoa zao kuvunjika kabla ya...
Rombo Moshi Kilimanjaro, Bw. Priva Elian (29) amekata sehemu zake za siri na kuziondoa kabisa kwa kutumia kitu chenye ncha kali. Amefanya hilo kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kugombaniwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.