ndugu wanafamilia wa jf kwa wale wataalam wa masuhala kama haya ya kutoa mbinu na namna ya kuweza kutoka na rafiki wa kike wa mpnzi wako naomba 2saidiane jamani tafaaadhari.:lol:
sijakuelewa kutokanae kivipi? yani kwenda kula nakurudi au kufanya nae majambozzzz?
Eti tanzania bila ukimwi inawezekana,,
mhhhhhhhhhhhhhhhhh
Ongea mkuu, acha kulia kikubwa kubwa!