Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wana JF Nakusalimieni Kuna demu 1 niko naye kama miezi 5 sasa, ambaye nimepanga kufunga naye ndoa. Kabla sijachukua uamuzi wa kufunga ndoa nimekuja kwenu kupata nasaha zenu. Huyu mke...
3 Reactions
46 Replies
6K Views
Jamani mwenzenu nanyimwa kuku mtamu nimfanyaje jamani?
0 Reactions
52 Replies
5K Views
Mimi ni kijana niliyehitimu kidato cha sita na kuchaguliwa kuingia chuo fulani kikuu huko Dom mwaka jana. Nimelelewa kwa mapenzi makubwa ya baba na mama ambyo yamenifanya niwe na mafanikio sana ya...
1 Reactions
76 Replies
5K Views
Ni kwa nn wanaume wengi wanakuwa promissless ktk relationship? Naomba majibu yenu wanachama wa humu ndani!
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Wajamen habari yenu! Naomba niwashirikishe hili jambo ili mnipe mawazo/ushaur wenu. Kuna jamaa yangu alikua na rafiki wa kike, walikua na urafiki tangu primary na urafiki ulianzia kwenye...
1 Reactions
40 Replies
4K Views
BY MARIE-CLAIRE NDIKUMANA, 2 MARCH 2012 Comment Bujumbura — Prostitution is no longer taboo in Burundi. It is quickly becoming a widespread phenomenon, due to the deteriorating living...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naitwa Hussein Juma wa Shy-town n nina umri wa miaka 21 sasa! Nimehtimu kidato cha nne mwka jana na nimefaulu kuendelea na masomo ya kidato cha tano&sita hvyo nasubr selection nipangiwe! Napenda...
0 Reactions
0 Replies
946 Views
MAPENZI YANANITESA NIPENI USHAURI Nimefikiria kwa muda mrefu naona nazidi kupoteza muelekeo. Naombeni ushauri wenu wa mawazo naweza kufarijika kwani nipo njia panda. Ninampenzi ambaye kwa kiasi...
0 Reactions
65 Replies
9K Views
Naamini kuwa wanawake wanahitaji kuwa na haki sawa na wanaume ila si kwa jinsi ninavyoona mimi hii ni vita kati ya wanaume walio kimya na wanawake wanaotumia majukwaa kupambana nasi. Mimi nadhani...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
1.Afagie uwanja wa nje ya nyumba. 2.Aende kisimani kuteka maji(marudio ndoo kadhaa mpk zitoshe mahitaji ya nyumbani kwake) 3.Adeki nyumba,apike(jiko labda la mkaa unapika kimoja kimoja mpaka...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wana jamii forum leo nimepata picha bwana wangu anakula denda na mwanamke ambaye mimi simjui nilipo muliza mwanamke wangu hii picha mmepiga wapi akasema maeneo ya mwenge na sio kweli nilivyo mbana...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Kuna mdada tuna kaa nae kitaa,ana miaka 24 ana hitaji mchumba kuanzia miaka 26 na kuendelea,hachagui dini wala kabila,kwa mwanaume aliye tayari awasiliane naye kwa namba zifuatazo,0789 555588 au...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
ni juzi tu baba na mama yangu wameadhimisha miaka 50 ya ndoa yao.Moja ya vitu vyenye kuvutia,ni pale unapoangalia wawili hawa katika uzee wao wenye siha wanvyofanana kwa sura.Ninngependa kuuliza...
2 Reactions
36 Replies
5K Views
Wanaume wengi huwachukulia wanawake kama mali zao, ambazo ni wao tu wanaotakiwa kuzimiliki kwa namna fulani. Mali yako ni mali yako, ikitumiwa na mtu mwingine, huumiza hisia. Lakini, mali hii...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wapendwa wanajf: Juzi nilikuwa msibani fulan wa ndugu yangu si mnajua msibani na kuna kulala nje sasa mnamo mida ya saa 8 usiku si akaja mtu akatumwagia maji pale jamvini aisee...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Niliendelea kusikia maneno na mawazo yakikizunguka kichwa changu. Moyo wangu na akili zangu zilikuwa katika vita vikali, moyo ukipenda na kutamani wakati sheria ya akili yangu ikijawa na tahadhari...
4 Reactions
36 Replies
4K Views
"Za kuambiwa changanya na za kwako" FIVE RULES FOR MEN: 1 It's important to have a woman, who helps at home, who cooks from time to time, cleans up and has a job. 2. It's important to have a...
2 Reactions
40 Replies
3K Views
.....sentensi nimekuwa naisikia sana kutoka kwa kina dada walio single. Funny enough, kuna kina dada wapatao watatu niliowahi kuwasikia kwa masikio yangu (nafanya nao kazi) wakitoa kauli kama hii...
4 Reactions
117 Replies
9K Views
Kwanza nashukuru kupata fursa hii ya kulitembelea jukwaa hili kwa mara ya kwanza. Nawasalimuni ninyi nyote. Mie naanza na stori fupi kabla ya kuuliza swali kwenu. Hapo zamani nilipokuwa kijana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
imekuwa kama gundu coz nakubaliwa na nisiowapenda lakini ninaowazimia hasa kati ya 10+ niliowatongoza walinitosa,kasoro mmoja tu ambaye after a year mambo yakaharibika, Yaani sijielewi mpaka...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…