imekuwa kama gundu coz nakubaliwa na nisiowapenda lakini ninaowazimia hasa kati ya 10+ niliowatongoza walinitosa,kasoro mmoja tu ambaye after a year mambo yakaharibika,
Yaani sijielewi mpaka nimesitisha kabisa kutongoza ,nateseka tu na upweke . Nifanye nini coz hata sielewi wapi nakosea coz makosa niliyofanya zamani nimerekebisha lakin sifanikiwi. Sijiamini tena hata kuanzisha maongezi na demu ninayempenda cwez tena. Kama ungeweza kuongea nami ana kwa ana ,ungejua kwa kiasi gani niko katika maumivu kiasi cha kutamani mapenzi yasingekuwepo kabisaaaaa katika hii dunia coz ndo tatizo la msingi kabisa kwangu.
Yaani sijielewi mpaka nimesitisha kabisa kutongoza ,nateseka tu na upweke . Nifanye nini coz hata sielewi wapi nakosea coz makosa niliyofanya zamani nimerekebisha lakin sifanikiwi. Sijiamini tena hata kuanzisha maongezi na demu ninayempenda cwez tena. Kama ungeweza kuongea nami ana kwa ana ,ungejua kwa kiasi gani niko katika maumivu kiasi cha kutamani mapenzi yasingekuwepo kabisaaaaa katika hii dunia coz ndo tatizo la msingi kabisa kwangu.