Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Kuna suruali za kike zimeingia mitaani ambazo zina vaccum (nafasi) ambapo baada ya kuvaliwa na ku~pump hujaa na kumwongezea mwili, (hips, mapaja) yake hivyo wakwere wa wa wanawake wakae sawa....
0 Reactions
31 Replies
4K Views
Habari za asubuhi wadau? Kama kuna wanaokumbuka wiki chache zilizopita nilitoa uzi kuomba ushauri kuhusu the two women in my life. Watu walinishauri vizuri na nikaamua kufuata ushauri wa wadau...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
habari zenu wandugu? Natumai mpo salama kabisa. Jaman swali langu ni fupi. Hivi ni kwa nin wanawake mabonge wanapenda sana taarabu? Je huu mziki ni kwaajiri yao wao wenyewe? Kweli sielewi mpaka...
0 Reactions
149 Replies
23K Views
I hv always been wondering about this thing; HAIR ON MEN CHEST. I dont know whether girls like them or not. Can I hv some comments from the girls around Jf?? Madume ya kibongo wanazo hair ktk...
2 Reactions
119 Replies
15K Views
Sijui kwa nin kila girl ninaekuwaga na uhusiano nae pindi 2napokua distance huwa wanapenda kuniuliza hilo swali?
0 Reactions
20 Replies
2K Views
ni mara yangu ya kwanza kujiunga jf baada ya kuchoka kusoma post kama mgeni,ombi langu kwenu ni kuwa natafuta housegirl muathirika wa ukimwi ,yeyote mwenye kuweza kunisaidia ani pm asanteni
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Kwa muda mwingi nimekuwa nikijiuliza kwamba hivi sisi wanaume ni kwa nini tunapoenda kumtongoza mwanamke kwanini hatuendi mojakwamoja kwenye pointi?,Nilazima mwanzo mwisho ni Magumashi uongo...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
kama dakika 20 hv zimepita hapa moshi stendi demu 1 kachaniwa nguo zake live hpa stend sababu nguo hiyo ilikuwa fupi saaana so watu wakaamua kuchukua sheria mkononi...dah ni noma demu hafai yani...
1 Reactions
60 Replies
5K Views
Things Women Should Know 1.We men don't care what u wear on a date, what we care about is when what u are wearing will come off.. 2.Just because you are in your periods don't mean l cant get...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Inasemekana kuwa mwanamke ana roho mbaya kuliko mwanaume,mfano: katika suala la kuua/kutoa uhai ukiwakabidhi visu ambacho ni butu na chenye makali mwanamke atachukua butu ili akuchinje taratibu...
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Wanajamvi me nafagilia mila na desturi za Kibantu ambazo ziko bomba,mathalani hii ya kulipa mahari kwa maana ya kutoa shukrani japo kiduchu kwa wazazi/walezi wa mtarajiwa wako (mke). Lakini baadhi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau naomba msaada wa maana halisi ya neno love. Hawa wamesema hivi! 1. Plato- A grave mental disease. 2. John Ford- Desparate madness. 3. Ovid- A kind of...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Inasadikika kuwa unaweza kumlazimisha punda kwenda mtoni lakini huwezi kumlazimisha anywe maji. Vivyo hivyo katika mapenzi kuna wakati inafikia ambapo mpenzi hawezi kumlazimisha mwenza wake kitu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Katika vitu ambavyo sisi wanaume huwa tunakosea ni kati ya hivi..... Sisi wanaume tukiwa na mwanamke amabaye ni mpya katika mahusiano u wa tunaamini kuwa huyu mwanamke hayuko pekeeyake lazima kuna...
4 Reactions
38 Replies
5K Views
Dada mmoja alikuwa anasema,hawa wanaume siku hizi ni fake kweli,ni wanaume suruali tu. Kalalamika kweli,nili muuliza swali moja tu,wanaume wote unawajua? Akasema,..."ndo wale wale tu,hamna...
8 Reactions
47 Replies
4K Views
wadau naomba mnieleze uhusiano uliopo kati ya mate na mkojo, maana watu wengi (hasa wanaume) hutemea mate mkojo walioukojoa wao wenyewe (hasa pale tendo hilo la kukojoa linapofanyikia pembeni ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mimi ni msichana wa miaka 27. Nimewahi kua na uhusiano wa kimapenzi na kijana mmoja ambaye alikua ndiye mwanaume wa kwanza kwangu ila tuliachana baada ya kugundua kua mwenzangu baada ya kupata...
4 Reactions
132 Replies
15K Views
Niliyempenda amesafiri na simu hapokea wajf nipeni
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Natafuta jimama lenye pesa zake linalokwenda na wakati na linalojua kutumia hela,liwe na gari zuli na liwe linapenda kujiachia,nina miaka 23 bonge la handsme,awe na umri kuanzia 30 mpaka 100
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Tusidanganyane kwa visa vya alfu ulela ulela, bila pesa penzi halidumu hata wapenzi wapendane kiasi gani :yell:
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…