dadam
Member
- Apr 20, 2011
- 56
- 9
Mimi ni msichana wa miaka 27. Nimewahi kua na uhusiano wa kimapenzi na kijana mmoja ambaye alikua ndiye mwanaume wa kwanza kwangu ila tuliachana baada ya kugundua kua mwenzangu baada ya kupata kazi hakua na mawasiliano (hata msg) nami kwa takribani miezi miwili kwa madai kua alikua bize.
Baada ya kuachana nae niliamua kua single na kukaa hivyo kwa mwaka mzima ambapo alijitokeza kijana mmoja tuliejuana Facebook nakuonyesha kunipenda sana. Sikua nikimwamini hasa kutokana na tulipokutana. Kubwa zaidi, nilimuona kua ni mdogo kua na mimi (amenipita kwa miezi mitatu tu) na tukiwa pamoja mimi naonekana mkubwa kwake kwani ana baby face.
Kijana huyu anaishi mwanza namimi naishi Dar. Kilichonifanya nimkubalie ni ule upendo aliokua akinionyesha. Alikua akitoka mwanza kwa ajili yangu, atakuja dar na kutumia siku zote na mimi bila kuwaona rafiki zake wala ndugu zake. Atakuja kila mwezi japo w. end na popote anapopata off kazini.
Anajali, ananipenda, atafanya lolote kwa ajili yangu. Mfano, alikua anakunywa pombe ila siku ya kwanza tu kukutana na kugundua kua sipendi pombe aliacha, hakua akienda kanisani ila tangu nimuulize amekua akienda bila shida. Kila mara huniambia anatamani angeweza kunifanya niwe na furaha siku zote.
Dada Dinnah, mi sio muombaji, sikuwahi kumuomba mwanaume hela au vitu kama vocha. Kaka huyu hunitumia vocha kila siku na mara kwa mara huniwekea hela Bank au kwa M Pesa hadi kuna kipindi tunashindwa kuelewana kwani naona anafanya too much. Anapokuja hunifanyia shopping na akiondoka huniachia hela.
Kielimu nimemzidi (ana degree) ila ana kazi yenye kipato kizuri, mimi elimu yangu ni degree ya pili (Masters)nafanya kazi ila pia nasoma postgraduate diploma ktk chuo kikuu cha dar es salaam kwa hiyo pamoja na majukumu mengine najilipia ada. Nasema hivi kuonyesha kua angeweza asifanye yote hayo akiamini kua nina uwezo.
Ana mtoto aliyempata akiwa sekondari na aliniambia mapema tu na maelezo yake yanaridhisha(mwanamke keshaolewa).
Tatizo nililo nalo ni kua, sijisikii kuvutiwa na huyu kaka, kwanza hajui kukiss nimejaribu kumfundisha ila naona hataaaa haelekei. Sijui midomo (lips) yake migumu na midogo..hata sielewi. Sipendi harufu ya kinywa chake, mwili wake hata akitoka kupiga mswaki au kuoga.
Pumzi yake ndo sitaki kabisaaaaaa akinihemea nashindwa kuhema. Kuna muda hata anishike vipi nahisi kama naumia na hata kama nilikua na nyege zinapotea.
Kazini, kuna kaka mmoja ambaye tulianza kazi pamoja, tulikua marafiki (very close hadi watu wakawa wanatutania (girlfriend na boyfriend) sio siri huyu kaka alinivutia sana ila nikawa najitahidi kutokumuonyesha.
Naye alikua akinambia kila siku anafurahi sana kufanya kazi pale kwani kumemkutanisha na mimi. Mara nyingi alipenda kua namimi, atanitembelea nyumbani, atanitoa out n.k kikubwa alijua kua nina boyfriend nami nilijua kua ana girlfriend. kosa nililolifanya ni kumkiss kwani siku tulipokiss tu sikuweza kumtoa mawazoni mwangu. He is a perfect kisser!!!
Huu ulikua ni mwanzo wa kujikuta namsaliti kaka wa watu na kua na uhusiano na huyu kaka. Sio siri kama kuna kitu wanakiita soul mate huyu ndie pale linapokuja suala la mapenzi romance, sex, cuddling…etc he is very good.
Tatizo la huyu kaka wa kazini sasa, mawasiliano kwake ni F. kwa siku nzima atanitumia msg moja tu nayo inasema SWEET DREAMS. Madai yake ni kua tumeonana kazini ambapo kazini kila mtu ana ofisi yake na hakuna la ziada zaidi ya HI! HI!
Mara nyingi akinitafuta like w. end tunaishia kusex na atanirudisha nyumbani kwangu like two hours baada ya tendo. Anapenda sana Pombe na marafiki kwa hiyo anaweza kukaa wiki mbili bila kukutana nami tofauti na kazini na anaweza kunambia kesho nitakutafuta mchana but atakua na sababu ya kutokuja muda ukifika.
Like ooh gari yangu imeharibika naenda garage, oooh naenda home kuwasalimia..mara oooh auncle anaumwa…ilimradi tu hatokuja. Msg nikimtumia anajibu after 3 or more hours au hatojibu kabisa.
Nitakapokutana nae next day, ana sababu nzuri tu ya kutojibu na mara azote hujaribu kunielezea jinsi siku yake ilivyoisha. Hajawahi kunipa chochote kama zawadi au hela hata vocha ya 500.
Ninamkasirikia sana mara nyingi niwapo peke yangu ila mara tu nitakapokutana nae ananifanya nasahau yooooote nakujiona nipo mwenyewe duniani.Nimechoka kuishi katika maisha haya ya mahusiano na watu wawili.
Nashindwa nichague Yupi??? Naambiwa there is no perfect man ila kipi bora katika ndoa???nahitaji kuwa na familia baada ya mwaka mmoja na nusu tangu sasa.
Nishaurini tafadhali.
Poleni kwa maelezo marefu sana
Baada ya kuachana nae niliamua kua single na kukaa hivyo kwa mwaka mzima ambapo alijitokeza kijana mmoja tuliejuana Facebook nakuonyesha kunipenda sana. Sikua nikimwamini hasa kutokana na tulipokutana. Kubwa zaidi, nilimuona kua ni mdogo kua na mimi (amenipita kwa miezi mitatu tu) na tukiwa pamoja mimi naonekana mkubwa kwake kwani ana baby face.
Kijana huyu anaishi mwanza namimi naishi Dar. Kilichonifanya nimkubalie ni ule upendo aliokua akinionyesha. Alikua akitoka mwanza kwa ajili yangu, atakuja dar na kutumia siku zote na mimi bila kuwaona rafiki zake wala ndugu zake. Atakuja kila mwezi japo w. end na popote anapopata off kazini.
Anajali, ananipenda, atafanya lolote kwa ajili yangu. Mfano, alikua anakunywa pombe ila siku ya kwanza tu kukutana na kugundua kua sipendi pombe aliacha, hakua akienda kanisani ila tangu nimuulize amekua akienda bila shida. Kila mara huniambia anatamani angeweza kunifanya niwe na furaha siku zote.
Dada Dinnah, mi sio muombaji, sikuwahi kumuomba mwanaume hela au vitu kama vocha. Kaka huyu hunitumia vocha kila siku na mara kwa mara huniwekea hela Bank au kwa M Pesa hadi kuna kipindi tunashindwa kuelewana kwani naona anafanya too much. Anapokuja hunifanyia shopping na akiondoka huniachia hela.
Kielimu nimemzidi (ana degree) ila ana kazi yenye kipato kizuri, mimi elimu yangu ni degree ya pili (Masters)nafanya kazi ila pia nasoma postgraduate diploma ktk chuo kikuu cha dar es salaam kwa hiyo pamoja na majukumu mengine najilipia ada. Nasema hivi kuonyesha kua angeweza asifanye yote hayo akiamini kua nina uwezo.
Ana mtoto aliyempata akiwa sekondari na aliniambia mapema tu na maelezo yake yanaridhisha(mwanamke keshaolewa).
Tatizo nililo nalo ni kua, sijisikii kuvutiwa na huyu kaka, kwanza hajui kukiss nimejaribu kumfundisha ila naona hataaaa haelekei. Sijui midomo (lips) yake migumu na midogo..hata sielewi. Sipendi harufu ya kinywa chake, mwili wake hata akitoka kupiga mswaki au kuoga.
Pumzi yake ndo sitaki kabisaaaaaa akinihemea nashindwa kuhema. Kuna muda hata anishike vipi nahisi kama naumia na hata kama nilikua na nyege zinapotea.
Kazini, kuna kaka mmoja ambaye tulianza kazi pamoja, tulikua marafiki (very close hadi watu wakawa wanatutania (girlfriend na boyfriend) sio siri huyu kaka alinivutia sana ila nikawa najitahidi kutokumuonyesha.
Naye alikua akinambia kila siku anafurahi sana kufanya kazi pale kwani kumemkutanisha na mimi. Mara nyingi alipenda kua namimi, atanitembelea nyumbani, atanitoa out n.k kikubwa alijua kua nina boyfriend nami nilijua kua ana girlfriend. kosa nililolifanya ni kumkiss kwani siku tulipokiss tu sikuweza kumtoa mawazoni mwangu. He is a perfect kisser!!!
Huu ulikua ni mwanzo wa kujikuta namsaliti kaka wa watu na kua na uhusiano na huyu kaka. Sio siri kama kuna kitu wanakiita soul mate huyu ndie pale linapokuja suala la mapenzi romance, sex, cuddling…etc he is very good.
Tatizo la huyu kaka wa kazini sasa, mawasiliano kwake ni F. kwa siku nzima atanitumia msg moja tu nayo inasema SWEET DREAMS. Madai yake ni kua tumeonana kazini ambapo kazini kila mtu ana ofisi yake na hakuna la ziada zaidi ya HI! HI!
Mara nyingi akinitafuta like w. end tunaishia kusex na atanirudisha nyumbani kwangu like two hours baada ya tendo. Anapenda sana Pombe na marafiki kwa hiyo anaweza kukaa wiki mbili bila kukutana nami tofauti na kazini na anaweza kunambia kesho nitakutafuta mchana but atakua na sababu ya kutokuja muda ukifika.
Like ooh gari yangu imeharibika naenda garage, oooh naenda home kuwasalimia..mara oooh auncle anaumwa…ilimradi tu hatokuja. Msg nikimtumia anajibu after 3 or more hours au hatojibu kabisa.
Nitakapokutana nae next day, ana sababu nzuri tu ya kutojibu na mara azote hujaribu kunielezea jinsi siku yake ilivyoisha. Hajawahi kunipa chochote kama zawadi au hela hata vocha ya 500.
Ninamkasirikia sana mara nyingi niwapo peke yangu ila mara tu nitakapokutana nae ananifanya nasahau yooooote nakujiona nipo mwenyewe duniani.Nimechoka kuishi katika maisha haya ya mahusiano na watu wawili.
Nashindwa nichague Yupi??? Naambiwa there is no perfect man ila kipi bora katika ndoa???nahitaji kuwa na familia baada ya mwaka mmoja na nusu tangu sasa.
Nishaurini tafadhali.
Poleni kwa maelezo marefu sana