One Man Army
JF-Expert Member
- Dec 27, 2011
- 236
- 34
kama dakika 20 hv zimepita hapa moshi stendi demu 1 kachaniwa nguo zake live hpa stend sababu nguo hiyo ilikuwa fupi saaana so watu wakaamua kuchukua sheria mkononi...dah ni noma demu hafai yani, ila thanks kwa polisi waliomsaidia kumpakiza kwenye gari ila ilikuwa too late...ma sista du wa dar karibuni moshi...picha badae kidogo ntawaletea