Pesa Posa/Money Matters

Companero

Platinum Member
Jul 12, 2008
5,604
1,704
Tusidanganyane kwa visa vya alfu ulela ulela, bila pesa penzi halidumu hata wapenzi wapendane kiasi gani :yell:
 
"bila ya pesa" ndio vipi?

Pesa inhitajikaje kudumisha mapenzi kwani?
 
"bila ya pesa" ndio vipi?

Pesa inhitajikaje kudumisha mapenzi kwani?

msipokuwa na pesa za chakula cha kutosha, mavazi ya kutosha, malazi ya kutosha, matibabu ya kutosha, usafiri wa kutosha na kadhalika msidhani penzi litadumu, visa vya alfu ulela ulela ni vya vitabuni tu, hali halisi inahitaji fedha!
 
msipokuwa na pesa za chakula cha kutosha, mavazi ya kutosha, malazi ya kutosha, matibabu ya kutosha, usafiri wa kutosha na kadhalika msidhani penzi litadumu, visa vya alfu ulela ulela ni vya vitabuni tu, hali halisi inahitaji fedha!

Hapo hoja inasimama kwenye neno "kutosha." Manake hii kutosha ni kwa kiwango cha nani? Manake mwengine anaweza kuona kuvaa nguo za kafaulaya zinatosha wakati mwengine anaona hadi iwe brand new kutoka designer anaeleweka ndo kutosha

:A S 39:
 
Hapo hoja inasimama kwenye neno "kutosha." Manake hii kutosha ni kwa kiwango cha nani? Manake mwengine anaweza kuona kuvaa nguo za kafaulaya zinatosha wakati mwengine anaona hadi iwe brand new kutoka designer anaeleweka ndo kutosha

:A S 39:

sio suala la semantics hapo, kwani hujui gharama za matibabu, safari, pango na chakula achilia mbali hizo za mavazi?

yaani mtu akisema pesa si kitu katika mapenzi basi muogope kama ukoma, pesa ni muhimu kuliko maelezo, ziwepo!
 
sio suala la semantics hapo, kwani hujui gharama za matibabu, safari, pango na chakula achilia mbali hizo za mavazi?

yaani mtu akisema pesa si kitu katika mapenzi basi muogope kama ukoma, pesa ni muhimu kuliko maelezo, ziwepo!

Wewe unazo pesa za kutosha ku-hang na yule binti wa mjeda?
 
sio suala la semantics hapo, kwani hujui gharama za matibabu, safari, pango na chakula achilia mbali hizo za mavazi?

yaani mtu akisema pesa si kitu katika mapenzi basi muogope kama ukoma, pesa ni muhimu kuliko maelezo, ziwepo!


Nakubaliana na wewe kuwa pesa muhimu sana hasa kwa mwanamme kuwa nazo...na ile "kutosha" iwe kwa kiwango cha mwanamke
 
Lol! Mwalimu ina maana sasa inabidi kabla ya kuanza kutoka na mkaka nimtathmini eeh?
Kweli elimu bahari, ngoja kwanza niweke standard yangu ya 'hela ya kutosha'
 
Omba bank statement ya miaka angalau mitatu.

Awe na financial statement pia, asisahau family doctor, family lawyer, na family auditor.

Lol! Mwalimu ina maana sasa inabidi kabla ya kuanza kutoka na mkaka nimtathmini eeh?
Kweli elimu bahari, ngoja kwanza niweke standard yangu ya 'hela ya kutosha'
 
Lol! Mwalimu ina maana sasa inabidi kabla ya kuanza kutoka na mkaka nimtathmini eeh?
Kweli elimu bahari, ngoja kwanza niweke standard yangu ya 'hela ya kutosha'

Heheheh kumtathmini muhimu sana.

Manake inapokuwa pesa yake haijatosha, hakubali uwe unapata mchongo kutoka home kufikia viwango vyako vya kutosha.

Beware
 
Sasa mbona NN aliniambiaga kuna I20 za kufoji, nisije nikaonyeshwa bank statement ya ofisi! Dating is as complicated as a phd!
Omba bank statement ya miaka angalau mitatu.

Awe na financial statement pia, asisahau family doctor, family lawyer, na family auditor.
 
Ila hata mie michongo ya home siifagilii. Mwanaume anaeongelea nyumba za babake sijui na nini staki hata u-shosti nae! Bora nisake zangu ili niwe namjazilizia.
Heheheh kumtathmini muhimu sana.

Manake inapokuwa pesa yake haijatosha, hakubali uwe unapata mchongo kutoka home kufikia viwango vyako vya kutosha.

Beware
 
Tusidanganyane kwa visa vya alfu ulela ulela, bila pesa penzi halidumu hata wapenzi wapendane kiasi gani :yell:

leo naamua kukubaliana na wewe kwa %100 bana.....kwani nini....
ukweli mtupu.....no money no sweetsweet.....
ndio hivyo....

 
kwa sisi wa kuunga unga kazi ipo na ikitokea ulikuanazo then zikakata huna budi kum'binafsisha...full mistress
 
mathematically speaking, love is a function of money - no money no love!
 
Back
Top Bottom