''umevaa nin leo diah?''

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
Sijui kwa nin kila girl ninaekuwaga na uhusiano nae pindi 2napokua distance huwa wanapenda kuniuliza hilo swali?
 
mie mwanaume ananiambia 'klxbvc yangu imesimama,niifanyeje' huwa sijui nijibuje online chatting,mwageni maujanja baaasi.....lol
 
Nasoma emails, nalipa bills, naskiza muziki, na kucheza solitaire. Wewe je?

nasoma emails,nasikiliza muziki,naperuzi jamii forums na issamichuzi,naangalia bongo movies na kuchat na marafiki duniani......
 
nasoma emails,nasikiliza muziki,naperuzi jamii forums na issamichuzi,naangalia bongo movies na kuchat na marafiki duniani......
Umesahau kutaja hivyo vya kuambiana kua klxbvc imesimama.
Are you well dear? long time sijakuona jamvini.
 
Umesahau kutaja hivyo vya kuambiana kua klxbvc imesimama.
Are you well dear? long time sijakuona jamvini.

hahahahah hivyo nadhani mwenyewe kashafigure out...
am fine dear,naingia humu ila mara chache...miss u big time!
 
Senetor, unapiga pamba kali sana ndo maana sweetie wako anakuuliza umetupia pamba gani. Mko wachache sana. Who is ur favourite designer?
 
Senetor, unapiga pamba kali sana ndo maana sweetie wako anakuuliza umetupia pamba gani. Mko wachache sana. Who is ur favourite designer?

pamba kali kwa uchumi upi huo mkuu wangu?
 
....swali tamu sana hilo...kama kweli waulizwa jua una bahat....
Wenzio twakosa hayo majambo etiii...
 
Back
Top Bottom