Habari zenu wakuu,
Mie ni mdada natafuta Mwanaume mwenye sifa hizo hapo chin km tukiafikiana tufunge ndoa,
sifa zake;
Aliye single,Mkristu,umri miaka 32-40,mwenye kazi ya kueleweka au biashara,Elimu Diploma na kuendelea,mwenye mtoto mmoja anakubalika,asiyevuta sigara,
Sifa zangu;Niko single,sijawahi kuolewa,sina mtoto,elimu ya shahada ya kwanza,umri wangu 30yrs,nimeajiriwa nafanya kazi.
Kwa maelezo zaidi kuhusu mimi kwa atakayekua interested ani PM au pamelamassawe@gmail.com
Tafadhali km unaona haikuhusu usinidhihaki ww pita bila kuandika chochote.
hili sio la mzaha so naomba msilichukulie kimzaha.
Mie ni mdada natafuta Mwanaume mwenye sifa hizo hapo chin km tukiafikiana tufunge ndoa,
sifa zake;
Aliye single,Mkristu,umri miaka 32-40,mwenye kazi ya kueleweka au biashara,Elimu Diploma na kuendelea,mwenye mtoto mmoja anakubalika,asiyevuta sigara,
Sifa zangu;Niko single,sijawahi kuolewa,sina mtoto,elimu ya shahada ya kwanza,umri wangu 30yrs,nimeajiriwa nafanya kazi.
Kwa maelezo zaidi kuhusu mimi kwa atakayekua interested ani PM au pamelamassawe@gmail.com
Tafadhali km unaona haikuhusu usinidhihaki ww pita bila kuandika chochote.
hili sio la mzaha so naomba msilichukulie kimzaha.