Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Jana rafiki yangu kipenzi kaniuliza..'hivi wewe Bishanga wanawake wanavyokupapatikia unadhani ni kwa vile we ni handsome?' Nilitafakari na baada ya kufika nyumbani nilisalula kila kitu nikabaki...
8 Reactions
180 Replies
12K Views
Wanajamii nisaidieni mawazo yenu...ctaki kusimulia yaliyopita ila ni kwamba nilikuwa naongea na ninaeamini ni mpenzi wangu lakini ghafla kanambia kata cm mama anapiga tokea saa nne bt kila nikipga...
0 Reactions
62 Replies
6K Views
Hii ni situation ya kweli hapa nchini, hv ni haki kwel kwa mwanachuo wa kike kulazimishwa kungonoka na lecturer ndo apewe coursework acpofanya hivo anasapushwa ikiwezekana na kukeri kabisa hilo...
0 Reactions
52 Replies
5K Views
Ni aibu na ujinga,Msichana anatembelewa na boyfnd wake,nyumbani kwa wazazi wake.Then wanafanya mapenzi nyumbani kwa msichana(yaan nyumba ya wazazi wa msichana).Kwa nini asikupeleke kwao,kama...
1 Reactions
57 Replies
4K Views
......................................................................................
0 Reactions
51 Replies
4K Views
Nimekuwa nikilog in kwenye mtandao wa JF kwenye Laptop yangu na kuchagua keep me logged in. sasa nimegundua mke wangu nae huwa anaangaliaga JF, na ameshaifahamu user name ninayoitumia hapa JF...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Heshima kwenu brothers and sisters, Why ladies mnapata shida sana kuishi single without relation kwa muda mrefu? I have a workmate and friend of mine ambaye inshort ni mzuri, but huyu sister...
0 Reactions
60 Replies
8K Views
Natafuta jimama anayejua kutunza mabinti wamenichosha.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta mpenzi mwenye mapenzi ya kwel umri kuanzia-20-22 akiwa tayar anichek 0719474102.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sio kila jambo ni la kushea,binadamu tuna marafiki,wazazi na ndugu,wote hawa kila kukicha tunasema tunawapenda lakini linapokuja suala la mapenzi hapo tunataka tuwe wenyewe tu. Japokua zipo imani...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Wana JF Naomba tushauriane suala hili.muda huu niandikapo natoka kucheza muziki na shoga.kwa mbali naambiwa alikuwa tanga.alikimbia kule kwa kudhurumu.yeye ni mrefu,mwembamba...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Things have changed complitely. A real man had to straggle to bare the family, to care and to prepare a better future for his family. Currently this things have changed and in some instance are...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Niko hapa maeneo ya Mlimani City na mfanyakazi mwenzangu ambaye bado hajaoa……… Tumesimama mahali ambapo kila anayeingia na kutoka hapa Mlimani City tunamuona.................. Kuna mabinti wengi...
3 Reactions
46 Replies
4K Views
Ni true case. Binti ni shemeji yangu na mwanaume ni rafiki yangu. Binti aliambukizwa HIV kutoka kwa mama yake wakati wa kuzaliwa, na aliniambia mwenyewe. Kupitia kwangu rafik yangu alimfaham huyu...
0 Reactions
74 Replies
7K Views
Ulikuwa kama mchezo mnakusanyika watoto wa kike na kiume na mnaanza kuimba, akianza mwanamke anamachagua mwanaume na akianza mwanaume anamchagua mwanamke, wengine tulikuwa tunautumia kwa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
wanaume huwa wana usiri sana pale ambapo rafiki ake anakuwa ana mademu more than one, hata iwe rafiki ake awe amekwenda kumsindikiza binti mwingine, utasikia rafiki ake akisema oooh shemu karibu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
QUESTION;Why do couples hold hands during their wedding? ANSWER:It is just a formality just like two boxers shaking hands before the fight begins.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani hapa tunaongea kama wazazi Je ni halali mama kupiga dabali watoto mgongoni? Akipiga hivi dabali haiathiri malezi na makuzi ya watoto? Yaani hapa nazungumzia umemwacha mkeo nyumbani akaja...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Natafuta mchumba mwenye sifa zifuatazo; 1. Awe mkristu mwenye hofu ya MUNGU. 2. Umri usiozidi miaka 25. 3. Mweupe, mwenye umbo la wastani (average), mrefu wastani 4. Elimu kuanzia form 6 na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wamama na wadada ambao ni above 18 mpaka 60... ambao wana interest na male company for fun na weekend gateways.. pm please.... napenda kusafiri around east africa na starehe zaidi...no...
4 Reactions
156 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…