MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,856
- 6,215
Heshima kwenu brothers and sisters,
Why ladies mnapata shida sana kuishi single without relation kwa muda mrefu? I have a workmate and friend of mine ambaye inshort ni mzuri, but huyu sister ananishangaza sana as kuishi bila relation kunamchanganya sana while she is just 27, yaani kuwa lonely kunamnyima raha kiasi hata sometime unakuta analia on her table ukimuuliza hana majibu ya kutosha, hivi hii inakuaje as she has everything tunazo wish kuwa nazo, as good first job with a nice salary to her, nice car, and so on.
But kuwait for a right person kunamchanganya sana na hasa her friends wanavyoolewa daily, nimeisema hii has imenigusa sana j mos tulikuwa kwenye harus ya friend ghafla akaanza kutoa machoz na kutaka kuondoka bila sabab za msingi hadi mama mmoja akamtoa nje kumliwaza, hii inakuaje wadada mnisaidie, mbona guys wengi tu naowajua hawapo kwenye relations but wana furaha and they have fun a lot but ladies inakuaje?
Why ladies mnapata shida sana kuishi single without relation kwa muda mrefu? I have a workmate and friend of mine ambaye inshort ni mzuri, but huyu sister ananishangaza sana as kuishi bila relation kunamchanganya sana while she is just 27, yaani kuwa lonely kunamnyima raha kiasi hata sometime unakuta analia on her table ukimuuliza hana majibu ya kutosha, hivi hii inakuaje as she has everything tunazo wish kuwa nazo, as good first job with a nice salary to her, nice car, and so on.
But kuwait for a right person kunamchanganya sana na hasa her friends wanavyoolewa daily, nimeisema hii has imenigusa sana j mos tulikuwa kwenye harus ya friend ghafla akaanza kutoa machoz na kutaka kuondoka bila sabab za msingi hadi mama mmoja akamtoa nje kumliwaza, hii inakuaje wadada mnisaidie, mbona guys wengi tu naowajua hawapo kwenye relations but wana furaha and they have fun a lot but ladies inakuaje?