Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Jana rafiki yangu kipenzi kaniuliza..'hivi wewe Bishanga wanawake wanavyokupapatikia unadhani ni kwa vile we ni handsome?' Nilitafakari na baada ya kufika nyumbani nilisalula kila kitu nikabaki kwenye suti yangu ya kuzaliwa kisha nikasimama mbele ya kioo.Looo nilichokiona...mtumbo huo utadhani bogi benda,mpua ka wa Pinoccio,kushusha macho chini kanonino saizi ya bamia ,vimiguu ka fito,kupandisha macho juu bichwa shepu utadhani niligongwa na treni utotoni,nikawaza labda napendwa shauri ya pafomensi lakini mbona nikiingia mchezoni arusha moshi arusha moshi mbona dakika mbili niko Gilman point ? (halafu eti naambiwa...'darling that was great...mmmhhhh Bishanga wonders!). Kina mama hebu nipeni mwanga mnahisi nini siri ya mafanikio yangu hadi napapatikiwa na kugandwa ka luba?
PS:Wakuu naomba nijipongeze hii ni my 5000th post!
PS:Wakuu naomba nijipongeze hii ni my 5000th post!